kerubi afunikaye
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,183
- 1,057
Tunakaribia vita kubwa sana kuwahi kutokea katika historia.Mkuu THE LOST,
Hawa jamaa wako smart, kwasababu wanajuwa yanayoweza kuwakuta kwa mfumo walioujenga ambao siyo rafiki kwa wanyonge ambao ndiyo wengi, tayari waliishajiandaa zamani kwa kutengeneza mfumo mwingine (wameuficha kwenye madroo) ambao utatumika endapo Wamachinga watafanya mapinduzi ya pili ya Marxism. Mfumo huo mpya wameutambulisha kwa jina la NEW WORLD ORDER, wewe unadhihirisha kwa mchango wako huo kuwa ni Mwanazuoni mzuri sana, hivyo fuatilia hiyo New World Order, ni hatari kuliko mfumo tulio nao hivi sasa ambao wanyonge hawana chao wala sauti. Wakati fulani nakubaliana na wewe kuwa dawa inaweza kuwa ni WW tu.
ARMAGEDDON!
Kabla ya vita hiyo haki zitavunjwa sana na mambo ya kutisha,ubinadamu ukiwekwa kando kwa muda!Ndio tunaelekea huko.