Joshua justine
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 793
- 1,007
Kwa wana historia wanafahamu vema kwamba bila vita ya 2 ya dunia huenda tusingeongea mambo ya uhuru wa mataifa yetu ya Africa leo hii. Ni maveteran wa vita ndio waliorudi na morale na vuguvugu la ukombozi baada ya kuielewa dunia huko walikoenda.
Inavyoonekana ni kwamba bila vita hawa jamaa huwa hawaelewi lugha za kawaida kawaida. Sasa walitupa uhuru wa bendera, uhuru wa kisiasa huku wakiwa bado wanatutawala kiuchumi, na kwa njia hiyo wametutesa sana katika kuiba rasilimali zetu kwa njia mbalimbali kama vile vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Sasa tunapaswa tuifurahie vita hii ambayo ama inafanana na vita ya 3 ya dunia ama ndio itazaa vita ya 3 ya dunia (hatujui) lakini ni vita inayokaribiana sana na ya 3 kwa kuhusisha mataifa yote. Tunapaswa kuifurahia kwa kuwa ndio njia pekee tunakwenda kupata ule " UHURU " uliosalia , ambao hawakuachia, uhuru wa kiuchumi kwa bara la Africa.
Sasa itazaliwa NEW WORLD ORDER, utawala wa upande mmoja tu wa west juu ya dunia nzima utaishia hapo. Wachina na Warussi hawakuwa wamekaa kiboya boya, vile vita vya kibiashara vilivyo vuma sana mpaka leo kati ya U.S na China ndio vilitangulia kuonyesha kuwa sasa muda umefika watu wanataka kuleta mabadiriko ya nguvu duniani. Mmarekani na west wenzie hawataendelea tena kuwa watawala wa ulimwengu baada ya hili.
Unapoona msouth Africa amegoma kuunga mkono west, lazima kuna ndoa ya siri hapo kati ya S.A na Russia, na nilisikia last year wasouth wanadevelop Nuclear technology, za matumizi ya amani, ( kila mtu anasemaga hivyo) , ni dhahiri ukiona mtu anatengeneza technology hizo basi anaemuuzia ni mrussi , hao west ni wachoyo na wasingetaka mtu azijue na kupata ubavu wa kuwasumbua baadae.
WACHA VIPIGANWE BARA LETU NALO JUA LICHOMOZE, TUMEKUWA BARA LA GIZA MUDA MREFU. KUMEKUCHA SASA.
Viva Putin, Viva Russia.
Inavyoonekana ni kwamba bila vita hawa jamaa huwa hawaelewi lugha za kawaida kawaida. Sasa walitupa uhuru wa bendera, uhuru wa kisiasa huku wakiwa bado wanatutawala kiuchumi, na kwa njia hiyo wametutesa sana katika kuiba rasilimali zetu kwa njia mbalimbali kama vile vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Sasa tunapaswa tuifurahie vita hii ambayo ama inafanana na vita ya 3 ya dunia ama ndio itazaa vita ya 3 ya dunia (hatujui) lakini ni vita inayokaribiana sana na ya 3 kwa kuhusisha mataifa yote. Tunapaswa kuifurahia kwa kuwa ndio njia pekee tunakwenda kupata ule " UHURU " uliosalia , ambao hawakuachia, uhuru wa kiuchumi kwa bara la Africa.
Sasa itazaliwa NEW WORLD ORDER, utawala wa upande mmoja tu wa west juu ya dunia nzima utaishia hapo. Wachina na Warussi hawakuwa wamekaa kiboya boya, vile vita vya kibiashara vilivyo vuma sana mpaka leo kati ya U.S na China ndio vilitangulia kuonyesha kuwa sasa muda umefika watu wanataka kuleta mabadiriko ya nguvu duniani. Mmarekani na west wenzie hawataendelea tena kuwa watawala wa ulimwengu baada ya hili.
Unapoona msouth Africa amegoma kuunga mkono west, lazima kuna ndoa ya siri hapo kati ya S.A na Russia, na nilisikia last year wasouth wanadevelop Nuclear technology, za matumizi ya amani, ( kila mtu anasemaga hivyo) , ni dhahiri ukiona mtu anatengeneza technology hizo basi anaemuuzia ni mrussi , hao west ni wachoyo na wasingetaka mtu azijue na kupata ubavu wa kuwasumbua baadae.
WACHA VIPIGANWE BARA LETU NALO JUA LICHOMOZE, TUMEKUWA BARA LA GIZA MUDA MREFU. KUMEKUCHA SASA.
Viva Putin, Viva Russia.