Kamlipie ada shule st Edward
Co st kayumba
Ndugu yangu naomba uangalie kwa uangalifu maneno niloyowekea RANGI. Hili ni Jukwaa la Historia, yabidiukweli na ufasaha vipewe kipaumbele.MWAKA 1978, Majeshi dhalimu ya Nduli Idi Amin Dadaa wa Uganga, yalivamia Ardhi ya Tanzania, eneo la Mto Kagera, katika mkoa wa Ziwa Magharibi na kufanya uharibifu mkubwa wa mali na kuua wananchi wa mkoa huo, ..... majeshi hayo yalivyoingia Tanzania na Amin kutangaza rasmi kuwa eneo hilo la Mto Kagera ni sehemu ya Uganda.
Zipo. Mimi nilisoma kitabu cha kingereza cha darasa la sita chenye jina THE KAGERA WARHizi story nashangaa kwann hazipo kwenye historia mashuleni