Historia Fupi ya CHADEMA, Dr. Slaa na Wilaya ya Karatu

Huyu Qorro alipokumbushiwa tatizo la maji akasema sio shughuli yake yeye wala si yeye aloleta tatizo la maji na kwamba watu hawalaimishwi kuishi Kartu isiyo na amaji wanaweza kuhamia sehemu nyiongine au wakojolee ndoo zao kupata maji zaidi....jeuri yake ni uswahiba na Ben...kwa kauli hiyo alimtosa kabisa sasa hivi yuko hoi kimaisha...tunapanda nae Mwaibula

...Jeuri hii walikuwa nayo viongozi wengi. Wengine bado wanayo, kwani wamejisahau kwa sifa lukuki wanazopewa na wapambe wao nuksi. Hata hivyo wamekuwa wakisahihishwa kwa kuwa voted out of office.

...Tatizo kubwa ni kwamba viongozi wengi wamekuwa wakichukulia vitu for granted. Hebu ona wanavyopata stroke au pressure wanapopoteza majimbo.

...Kibaya ni kwamba wapo wanaodhani na kuaminishwa hivyo na wapambe wao, kwamba, wanastahili kuwa viongozi kwa gharama yeyote [hata damu kumwagika] hali mradi tu, wameshinda.
 
...Stein, usiwe na wasi. Watanzania washaanza kuelimika bila hata kwenda darasani na kupata elimu ya bure. Matatizo yanayowakabili ni shule tosha!

...Vile vile, uozo wa uongozi, ubinafsi na uzembe uliopo kwenye kila ngazi ya utendaji unawafumbua macho na kuwapa moyo wa kujiletea mabadiliko katika jamii zao. Hiki ndio kitu cha muhimu kuliko hata kupewa elimu na afya bure. Ukombozi wa mtu huanzia kwenye fikra!

Uko sahihi lakini tutafuta namna ya kutoka kwenye hii deadlock lazima kuwe na hii mbinu ili wTZ wakishapata momentum watajipeleka wenyewe tu kama nchi zingine.

Kwa sababu sahizi kila nyumba kuza karibu mwanafunzi moja, wawili, aou hadi watatu, sasa ukimwambia watoto hawa wataenda shule bure, halafu hicho kidogo jenga hata chumba kimoja baada ya muda mambo yanakuwa mazuri.

Tatizo ni saihi hicho kidogo inabidi anagawa hospital, shule, Kupanga nyumba sasa hapa bila external force hutoki kwa sababu ilitumika force kupelekwa kwenye hii hali.
 
...Stein, usiwe na wasi. Watanzania washaanza kuelimika bila hata kwenda darasani na kupata elimu ya bure. Matatizo yanayowakabili ni shule tosha!

...Vile vile, uozo wa uongozi, ubinafsi na uzembe uliopo kwenye kila ngazi ya utendaji unawafumbua macho na kuwapa moyo wa kujiletea mabadiliko katika jamii zao. Hiki ndio kitu cha muhimu kuliko hata kupewa elimu na afya bure. Ukombozi wa mtu huanzia kwenye fikra!
Hakika mkuu hapa kwenye Elimu ndio penyewe, kwani elimu wanayoipata wananchi bila kwenda shule ndio mhimu kwa sababu iko kivitendo zaidi na si kinadharia, elimu ya shule siku hizi imeingiliwa, watu wanasoma kwa madesa na wengine wanadownload shahada zao kwenye mitandao hatimaye tunapata WASOMI wasio kuwa na ELIMU, viongozi wetu sio wazalendo na inchi yao hata kidogo na maadili ya uongozi hayapo.

Ukiingia bungeni kuimbisha wimbo wa taifa kwa kila mbunge peke yake mmoja baada ya mwingine, believe me kuna waheshimiwa hawataimba hata kidogo kwani hawajui hata wimbo wa taifa, hawana utaifa ndani yao hata kidogo.

Tuendeleze elimu kwa vitendo kwa wananchi, kwani madudu ya watawala wetu pia ni shule tosha
 
Uko sahihi lakini tutafuta namna ya kutoka kwenye hii deadlock lazima kuwe na hii mbinu ili wTZ wakishapata momentum watajipeleka wenyewe tu kama nchi zingine.

Kwa sababu sahizi kila nyumba kuza karibu mwanafunzi moja, wawili, aou hadi watatu, sasa ukimwambia watoto hawa wataenda shule bure, halafu hicho kidogo jenga hata chumba kimoja baada ya muda mambo yanakuwa mazuri.

Tatizo ni saihi hicho kidogo inabidi anagawa hospital, shule, Kupanga nyumba sasa hapa bila external force hutoki kwa sababu ilitumika force kupelekwa kwenye hii hali.

...Stein, siikatai hoja yako. Point yangu ni kuwa, si vizuri kufikia hatua hiyo bila kuchochea ukombozi wa fikra. Ukitoa elimu bure kwa watu wasiojua kwamba mustakabali wa maendeleo yao uko mikononi mwao na si kwa serikali per see, kuna siku watakujadai chakula cha bure, kisa,...aahh, hali ya maisha ngumu...
 
Na katika kijiji kingine walipokuwa wadai maji na mengine akawaambia watu" "ninyi watu wa ....vichwa vyenu vigumu kama hayo mawe yenu.."Hicho kijiji kilikuwa na mawe mengi. Then wakamwambia kama sisi tuna vichwa vigumu basi tutaonana wakati wa uchaguzi, akafikiri wanatania. Na kwa kuwa alikuwa na back up kubwa ya CCM, alijua kuwa he was unshakeable; only to be proven wrong when opposition won. Hakuamini masikio wala macho yake!!!! That is how it should be elsewhere where people's wishes are taken for granted


Kimsingi kilichowafanya mpaka leo wanakaratu CCM kuwa kama jini ni kitendo cha bwana Qorro kuwaaambia wananchi waliokuwa na shida ya maji ya kuwa maji hayapatikani kirahisi kama mikojo hivyo wanaodhani yanapatikana kirahisi walete ndoo zao akojolee. Hapa ndipo walipologa.

Nakumbuka nilibahatika kuongea na mtu mmoja wa Karatu wakati wa kampeni akasema kuliko wachague Kiongozi ambae anatoka chama cha wakojolea ndoo za watu bora wachague Nguruwe maana baada ya muda watapata nyama na watakula.

Siku moja kabla ya uchaguzi niliongea na rafiki yangu ambae yuko Karatu akasema mzee Qorro mwenyewe alimwambia mgombea wa CCM kuwa jimbo hilo itachukuwa muda kurudi CCM na akawa amemuahidi mgombea huyo Bw. Wilbard Lorri kuwa kama angeshinda angemuachia lori lake aina ya FUSO bure.

Kimsingi CCM wamekata tamaa sana na wiki mbili zilizopita nilikuwa Karatu na Hanang na kwa Karatu nilikutana na bwana mmoja ambae ni Katibu wa CCM tawi moja Karatu mjini na akasema kwa kweli kama mwaka huu wamechemsha tena basi hawana uhakika ni lini watachukua Karatu
 
Hakika mkuu hapa kwenye Elimu ndio penyewe, kwani elimu wanayoipata wananchi bila kwenda shule ndio mhimu kwa sababu iko kivitendo zaidi na si kinadharia, elimu ya shule siku hizi imeingiliwa, watu wanasoma kwa madesa na wengine wanadownload shahada zao kwenye mitandao hatimaye tunapata WASOMI wasio kuwa na ELIMU, viongozi wetu sio wazalendo na inchi yao hata kidogo na maadili ya uongozi hayapo.

Ukiingia bungeni kuimbisha wimbo wa taifa kwa kila mbunge peke yake mmoja baada ya mwingine, believe me kuna waheshimiwa hawataimba hata kidogo kwani hawajui hata wimbo wa taifa, hawana utaifa ndani yao hata kidogo.

Tuendeleze elimu kwa vitendo kwa wananchi, kwani madudu ya watawala wetu pia ni shule tosha

...Mabel, lazima ufikie wakati watanzania wafahamu kwamba wanahitajika kuwajibika kwa maendeleo yao, wao wenyewe.

...Lazima wahoji matumizi ya kodi zao. Wanapaswa kuwawajibisha wale waliowatuma kazi na hawakufanya. Hii itarejesha uwajibikaji katika kila ngazi.
 
Nimesoma shule ya msingi Bwawani karatu mwaka 1986-92 baadae nikaenda karatu sec hadi form two nikamalizia O level Arusha Sec. Mimi ni mmoja wa watu waliopata shida sana katika hili suala la maji hapo Karatu, tulikuwa tunafuata maji zaidi ya km2, nadiriki kusema kazi kubwa ya utoto wangu ilikuwa ni kufuata maji hadi nilipobahatika kwenda Secondary. Ilikuwa tunaoga mara moja kwa wiki. Miezi miwili iliyopita nilikuwa na safari ya kikazi huko wilaya ya Babati, tulipitia Karatu, tulipokuwa tunakula kwenye hoteli moja hivi nikamtania muhudumu wa ile hoteli nikamwambia hivi nyie bado tu mnamchagua Slaa wakati karatu kuna shida kubwa ya maji, watu wote walinigeukia, yule muhudumu akafungua bomba akaniambia embu ona, shida ya maji tumeachana nayo siku nyingi sasa hivi hakuna mtu wa karatu anaeongelea shida ya maji. Kwa CHADEMA kutatua shida ya maji Karatu nimeamini hakuna linaloshindikana kama kuna dhamira ya kweli.
 
Safi saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana tunaomba copy hii iwafikie wabunge wote wa chadema kama reference na jinsi ya kuendelea kuchaguliwa wasibwete safi sana mkkuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu kazi kopi itume makao makuu ya chadema mie nimeituma kwa zito, mnyika, mdee, lema, nyerere, wenje tafadhari nisaidieni contacts za wengine
 
Nakumbuka Mbulu ilivyoweka historia nchi hii, kwa kumpeleka Bungeni mtu asiye na chama(mgombea binafsi) Chief Sarwat. Baada ya Nyerere kugundua kuwa Dodo sio chaguo lao, akafanya ujanja wa kuleta Landrover ya TANU ofisi Mbulu, na kutoa agizo kuwa atakayekuwa wa kwanza kufika Dodoma ndiye atakayekuwa mbunge wa Mbulu. Dodo alichekelea akijua kuwa Sarwat asingeweza kufika Dodoma kwa Trela ya Ng'ombe. Baada ya wazee kuona hivyo, kisirisiri wakaenda kumwomba Dr. Olson wa Hydom hosp. Akawasaidie Ndege kwa Gharama yoyote wampeleke mtu wao Dodoma. Hilo likafanikiwa na Chief Sarwat aliwahi kufika Bungeni. Kwa hasira wazee wa Mbulu wakamwambia Nyerere kuwa hatutaki umlipe mshahara mbunge wetu, bali sisi tutamlipa wenyewe. Chief Sarwat alikuwa moja wa wahitimu wa Makerere.
 
Safi saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana tunaomba copy hii iwafikie wabunge wote wa chadema kama reference na jinsi ya kuendelea kuchaguliwa wasibwete safi sana mkkuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu kazi kopi itume makao makuu ya chadema mie nimeituma kwa zito, mnyika, mdee, lema, nyerere, wenje tafadhari nisaidieni contacts za wengine

Tuko pamoja mkuu, Kwa sababu tuna Contact zao, tutafanya mpango wa kuwasilisha kwao baada ya muda.
 
Wadau kuna ile historia ndefu ya Chadema ilipata kubandikwa hapa ila kwa bahati nzuri mods waliiona ile thread wakaipiga panga kama kuna mtu aliwahi kusave soft copy si vibaya tukaishea....
 
Dr.w.p.slaa ni mtu wa ukweli sana,ni moja kati ya watu ambao watakumbukwa sana hapa tanzania.
 
...Stein, siikatai hoja yako. Point yangu ni kuwa, si vizuri kufikia hatua hiyo bila kuchochea ukombozi wa fikra. Ukitoa elimu bure kwa watu wasiojua kwamba mustakabali wa maendeleo yao uko mikononi mwao na si kwa serikali per see, kuna siku watakujadai chakula cha bure, kisa,...aahh, hali ya maisha ngumu...

Ni kweli lakini mimi na wewe ni mashahidi ni watu wangapi sahivi tunashindwa kuwafikia kwa sababu ya elimu, mimi na wewe tuko hapa JF tunajadili mustakabali wa nchi yetu kwa sababu ya elimu tuliyo nayo. Kuna watu wengi waipa CCM kura na wanashindwa kulinda kura zao kwa sababu ya elimu jaribu kuangalia ni wanachuo wangapi walirudi Dar kupiga kura kwa sababu ya kufahamu sera nzuri za wapinzani na wakagharimia, kwa hiyo tunaposema elimu ya bure inahitajika ni kwa sababu ya watu wengi hasa wakulima wameelemewa na majukumu sasa ni vizuri ukasema unawapa elimu bure kwa sababu elimu ndo itaondoa wale maadui wengine aliowataja nyerere.

Hata hii katiba mpya haitakuja bila elimu

Peoples Power
 
Dr.w.p.slaa ni mtu wa ukweli sana,ni moja kati ya watu ambao watakumbukwa sana hapa tanzania.
Doctor hivi sasa yuko Mwanza akifanya semina na madiwani wa Nyamagana na Ilemela (CHADEMA) kuwafundisha namna ya kuunda Halmashauri yenye kuweza kuwatumikia wananchi. Bravo Slaa, watu wa Mwanza city hawatajuta kwa kazi kubwa waliyoifanya ya kupambana kwa dhati kuhakikisha Chama walichokichagua hakipokwi ushindi na kuwa chaguo lao lilikuwa Swadaktaa!
 
karatu ni moja ya sehemu zinazoheshimika sana katika historia ya vuguvugu la demokrasia nchini.

Anko nitajie hizo shule za advance.je hicho chuo kitajengwa wapi?ucnielewe vibaya nataka kuweka clear ma records
 
huko mbulu nako nasikia marmo alijipalia makaa; wananchi walikuwa na ukorofi wa kukivumilia chama chake lakini yeye akaharibu kwa kusema, "msomi mmoja anatawala maelfu ya wajinga" jambo ambalo halikuwa kweli kwa wambulu! hasira zao zikaishia kwenye ballot box.
 
Back
Top Bottom