Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,115
- 26,595
Watu wasioelewa haya mambo wanapata tabu!its biblical! Lzm waondoke Palestina hakuna namna ni suala la muda tu!
Mbona kila kitu kipo wazi jmn!
Lzm hekalu la Suleiman pale lilipobomolewa na kujengwa msikiti lirudi tena!
Huu ni mwanzo mbona,msikiti utabomolewa na hekalu litajengwa tena hapo!
Wenyewe wanaelewa wanachopigania nyie mnaopinga ndo hamuelewi!
Mbona kila kitu kipo wazi jmn!
Lzm hekalu la Suleiman pale lilipobomolewa na kujengwa msikiti lirudi tena!
Huu ni mwanzo mbona,msikiti utabomolewa na hekalu litajengwa tena hapo!
Wenyewe wanaelewa wanachopigania nyie mnaopinga ndo hamuelewi!