2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
- Thread starter
- #81
Unaijua sheria ya Kristu? Ni sheria gani alituambia tuzitiiNaomba nikukumbushe kuwa Unabii wa Dunia hadi kuchomwa moto umetabiriwa toka agano la kale so usilazimishe Agano jipya kukupa majibu pekee............................................
haya twende kazi ilitabiriwa kwamba baada ya wana wa Israel kutawanya huwa lazima warudi tena nchini mwao katika historia wameshatawanywa mara kadhaa na kurejeshwa. ndio maana Hekalu limebomolewa mara kadhaa na kujengwa upya.
kurejewa kwao sio bahati mbaya soma hapa
Yeremia 32:37
Nitawakusanya watu kutoka nchi zote ambako kwa hasira na ghadhabu na chuki yangu kubwa, niliwatawanya. Nitawarudisha tena mahali hapa, na kuwafanya wakae salama.