Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,894
- 33,450
Kwa hiyo mama alivyolinajisi bunge kwa kumchamba Ndugai namna ile ndio ameimarisha bunge?Ndugai amevuruga sana, amesababisha bunge kuwa dhaifu, sababu alikuwa Dili moja na jiwe, uchafuzi, na nchi imekosa upinzani bungeni.