Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Huwezi kusema unataka aondoke na akaondoka, kumbuka kuwa huyu alizunguka nchi nzima akiomba kura, kapigwa jua kanyeshewa mvua akitafuta kura. Kusema aondoke abakie fulani na fulani ni akili za kitoto sana.Unafurahia watu waendelee kuwa mafukara ili watawaliwe kijinga ba kibabe! Tunataka Magufuli na baadhi ya wasaidizi wake waondoke maana hawafai. Hata PM hatuna shida naye kabisa! Shida iko kwa Magufuli pekee na baadhi ya watendaji wake ambao wamelewa madaraka!
Huamui ukiwa umekaa nyuma ya laptop yako, ni mchakato halali uliomuweka pale ikulu. Na bora uishie kwenye laptop yako, ukitoka nje na kuanza vurugu utaumia. Huyu sio JK aliyeweza kucheka na kila mtu.