Mupirocin
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,739
- 744
Habari za mchana wana JF, wadau kuna hisa za hili kampuni zinauzwa hisa moja ni Tsh 475 na wanaanza kuuza kuazia hisa 200. Nina mpango wa kununua hisa 200: naomba elimu hapa wanauchumi faida ninazoweza kupata kama mwanahisa na risk zake. Sijawahi miliki hizi hisa na moja ya masharti ni kuwa mwombaji anatakiwa kupata ushauri wa wataalam kuhusu ushiriki wao na wala kampuni haitahusika, sasa naomba ushauri ili nisije ingia mkenge ingawa risk kwenye ni mojawapo ya challenge naomba msaada zaidi. Naamini wachumi mtanisaidia. Naomba kuwasilisha.