Labile
Member
- Dec 9, 2016
- 58
- 63
Habari ya asubuhi wakuu.
Mimi nataka ninunue Hisa Kati ya kampuni mbili zifuatazo, CRDB au TBL, je kwa jicho la uchumi na mwenendo wao kibiashara unadhani ipi hapo inaweza kuishi miaka 25 mbele, nataka niweke sasa niuze baada ya miaka iyo kupita.
Natanguliza shukrani.
Mimi nataka ninunue Hisa Kati ya kampuni mbili zifuatazo, CRDB au TBL, je kwa jicho la uchumi na mwenendo wao kibiashara unadhani ipi hapo inaweza kuishi miaka 25 mbele, nataka niweke sasa niuze baada ya miaka iyo kupita.
Natanguliza shukrani.