kichwat
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 1,819
- 587
Kocha wa Tottenham Andre Villas Boas (AVB) amepigwa panga kufuatia matokeo mabaya na mwenendo usioridhisha wa Tottenham. Kipigo cha bao 5-0 nyumbani ni kibaya zaidi katika kipindi cha miaka 16 iliyopita, na kimekuja wiki 3 tu tangu walipochapwa bao 6-0 na ManCity.
Kupigwa panga kwa AVB huenda kukawapa nguvu mashabiki wa Manchester United ambao tayari wameshakata tamaa na kocha wao aliyeonesha kupwaya - David Moyes.
Kupigwa panga kwa AVB huenda kukawapa nguvu mashabiki wa Manchester United ambao tayari wameshakata tamaa na kocha wao aliyeonesha kupwaya - David Moyes.