Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,187
- 24,613
Dre ain’t no rapper!
He’s a producer!
Know the difference mzee!
Labda ni GOAT wa production!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dre ain’t no rapper!
He’s a producer!
Know the difference mzee!
Labda ni GOAT wa production!
RA, hatari sana huyu jamaa..pia Ali influence watu kama akina Jay na Nas. Lakin kwani sio sahihi kwamba mwanafunzi anaweza kujifunza skills za mwalim na kuongezea ujuzi wake kisha akawa bora kuliko huyo mwalim? In my opinion..nas surpassed RA many years ago! Sikatai kwamba he's good JUST NOT MY CHOICE FOR THE GOAT!RAKIM mbona hatajwi humu ?au wengi mlikuwa hamjazaliwa wakati anachana
Dre ni rapper mkuu
Mleta uzi unaijua hip hop vizuri, kula5
Bro umekula maharage ya wapi?. Umeharibu andiko lako zima ulivyomuweka DRE no 4, he is undisputed king of hiphop beats of all time like Majani in bongoIko hivi bro, Dre na Nas wote ni wakali..sana tena! Ila ni ukweli usiopingika kwamba Dre anajulikana zaidi kwa producing while Nas kwa emceeing.
Na hata iweje, kwa list yoyote ile atakayotoa mtu anaejua game basi lazima Nas awepo kwenye top 3 yake (Rapping)
Ila when comes to Producing huyo Dre anaachwa mbali hata na DJ Premier, Pete Rock na RZA...they are way better producers than Dre.
Kwa mantiki hiyo basi hata kama ikilazimishwa comparison kati ya Nas na Dre Nas wins!
No disrespect kwa Dre,
Nikitaja list yangu ya Hiphop producers wa all time inakua hivi;
5. Kanye west
4. Dre
3. Pete rock
2. RZA
1. DJ premier
Wakati nikitaja list ya emcees hakai hata top 10!!
Dre ni undisputed?Bro umekula maharage ya wapi?. Umeharibu andiko lako zima ulivyomuweka DRE no 4, he is undisputed king of hiphop beats of all time like Majani in bongo
Dre ni undisputed?
Hata hivi
Baada ya Ku post hiyo comment yangu nikakumbuka kwamba kuna watu niliwasahau, Madlib na J Dilla ninge edit hao wangekua namba nne na tano huyo Dre wako angekaa sita.
Hao ni underground pamojaNaomba kujua hawa akina 50 cent..ja rule..T.I.. wako kundi gani
Unaijua HIP HOP MkuuRakim ndo foundation yenyewe katika skills za uandishi na flows
Huyu jamaa kala chakula kilichochacha wote hao hakuna hata mmoja anayempata Dre kamweBro umekula maharage ya wapi?. Umeharibu andiko lako zima ulivyomuweka DRE no 4, he is undisputed king of hiphop beats of all time like Majani in bongo
Punguza kula chakula kilichochacha wote hao hakuna hata mmoja anayempata Dre na pia wewe humjui Dre kwa mtu anayeijua Hip hop Dre mpaka Leo ndo no 1 producer GOATIko hivi bro, Dre na Nas wote ni wakali..sana tena! Ila ni ukweli usiopingika kwamba Dre anajulikana zaidi kwa producing while Nas kwa emceeing.
Na hata iweje, kwa list yoyote ile atakayotoa mtu anaejua game basi lazima Nas awepo kwenye top 3 yake (Rapping)
Ila when comes to Producing huyo Dre anaachwa mbali hata na DJ Premier, Pete Rock na RZA...they are way better producers than Dre.
Kwa mantiki hiyo basi hata kama ikilazimishwa comparison kati ya Nas na Dre Nas wins!
No disrespect kwa Dre,
Nikitaja list yangu ya Hiphop producers wa all time inakua hivi;
5. Kanye west
4. Dre
3. Pete rock
2. RZA
1. DJ premier
Wakati nikitaja list ya emcees hakai hata top 10!!
Overrated tu hao licha ni kweli walikuwa ni wakali nakubali ila naona kama wanapata sifa ambazo zinapitilizaMtaongea yoote lakini tupac na big ndo walikuwa kila kitu kwenye hip hop ndo maana baada ya wao kufa hip hop inatia huruma artist waliopo wameshindwa kuirudisha kwenye level iliyokuwepo 1990's
9th wonder,Appolo Brown.Dre kuwa na team ya watu nyuma yake wanaomsaidia katika production hii unaichukuliaje??Dre ni undisputed?
Hata hivi
Baada ya Ku post hiyo comment yangu nikakumbuka kwamba kuna watu niliwasahau, Madlib na J Dilla ninge edit hao wangekua namba nne na tano huyo Dre wako angekaa sita.