Hip hop Facts Thread

Hakuna kipya utakachonielekeza kuhusu Em wala Nas..!
Sijawahi kukutana na list inayomuweka Nas juu ya Em, mimi pia sijawahi kufikiria kufanya hicho kitu..!
Album za Nas ninazo kama zote, hizo za Em ninazo zote, so hauwezi kunidanganya chochote kuhusu hao watu..!
Kwangu mimi Eminem ndio rapa bora wa muda wote, sikulazimishi kukubali mawazo yangu..!
Nimetumia masikio yangu na ubongo wangu katika hili...
Nas mkali kuliko Em, naaaah...
Let's agree to disagree chief..!!!
Nas Ni conscious kuliko Eminem,ingawa Eminem naye sio kwamba ana mashairi mepesi
 
Jamaa anakwambia Eminem ni overrated..!
hapana anakosea Eminem alitokea kupitia rap katuni na serious hiphop ila kinachowapiku wengine ni huwa hapotezi radha za hiphop hata akifanya rap yeyote mfano kuna ngoma jay z ksfuata radha za trap mwisho wa siku kashindwa kumaintain
 
Hakuna kipya utakachonielekeza kuhusu Em wala Nas..!
Sijawahi kukutana na list inayomuweka Nas juu ya Em, mimi pia sijawahi kufikiria kufanya hicho kitu..!
Album za Nas ninazo kama zote, hizo za Em ninazo zote, so hauwezi kunidanganya chochote kuhusu hao watu..!
Kwangu mimi Eminem ndio rapa bora wa muda wote, sikulazimishi kukubali mawazo yangu..!
Nimetumia masikio yangu na ubongo wangu katika hili...
Nas mkali kuliko Em, naaaah...
Let's agree to disagree chief..!!!
Aight Stan
I know you got all his underground and mainstream shit
Your room full of his posters and pictures
Which makes you his biggest fan
So who is I to disagree with yo muthaphuckin opinion.
 
Aight Stan
I know you got all his underground and mainstream shit
Your room full of his posters and pictures
Which makes you his biggest fan
So who is I to disagree with yo muthaphuckin opinion.
Call me whatever you wish man...
It won't change a shit..!
To me Em is the best rapper of all time, he's the rap God..!
Nas is nowhere near Em's level..!
You can cry if you wish..!!!
 
Simple mzee Nas is a better lyricist.
Lyrically Nas destroys Em any day.
Sincerely if Em was black he would just be an average rapper .
Hana content ukiondoa stan, flow wise Nas yupo on top, Delivery wise Nas beats Em too.
Overral Nas has better albums
●Illmatic (classic of classics)
●It Was Written
●The Lost Tapes
●Stillmatic
●God’s Son
●I Am…
●Hip Hop Is Dead
●Life Is Good
●Street’s Disciple
●Untitled
●Nastradamus
Hu-forward nyimbo ukizikiliza hizi album.
Nas is better than Eminem for real.Voca anazoshusha na message zake najihisi raha sa


Im listening......road to zion....
 

Andry - Hozina
Available now
Wadau wote wamumiki naomba muweze kusupport music mzuri wa Tanzania vipaji
Vipo hata kwa wasanii wadogo
Watch and you'll enjoy
 
Mh
hapana anakosea Eminem alitokea kupitia rap katuni na serious hiphop ila kinachowapiku wengine ni huwa hapotezi radha za hiphop hata akifanya rap yeyote mfano kuna ngoma jay z ksfuata radha za trap mwisho wa siku kashindwa kumaintain
Mh Jay Z?!Acha wewe huyu mtu anajua ana evolve na game yake,na anafanya anavyotaka naanaenda sawa.Em aliwahi kukiri huyu ni one of his fav rapper.Jay Z kwa sasa anakusanya hela,hajali charts za billboard anazingatia mauzo ambayo anatengeneza pesa kwa ajili yake zaidi kuliko zamani pesa nyingi ikienda def jam ,live nation na label nyingine major.Kuhusu kumaintain na Ku evolve huyu ndie mfalme wao
 
Hahaa
b27beff4f2dd93216f4ccf71dd4f89f1.jpeg
 
Mh

Mh Jay Z?!Acha wewe huyu mtu anajua ana evolve na game yake,na anafanya anavyotaka naanaenda sawa.Em aliwahi kukiri huyu ni one of his fav rapper.Jay Z kwa sasa anakusanya hela,hajali charts za billboard anazingatia mauzo ambayo anatengeneza pesa kwa ajili yake zaidi kuliko zamani pesa nyingi ikienda def jam ,live nation na label nyingine major.Kuhusu kumaintain na Ku evolve huyu ndie mfalme wao
jay z,,,,,,hapana........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom