Mkuu una maono. Umeona mbali. Hitler alivyotaka kuanzisha vita alitafuta sababu kwamba wajerumani waishio Czechoslovakia wananyanyaswa. Kikawa ni kisingizio cha kuivamia nchi hiyo. Gwajima anatumia chanjo kwa staili hiyo hiyo. Issue yake siyo chanjo!Gwajima ni iceberg ndani ya bahari
Wakati akina Sugu na wengine wanakamatwa kipindi kile vile havikua vikao vya bunge?Kwa Sasa iliumkamate mbunge yeyote lazima spika wa bunge apewe barua , nadhani huko nduki
IGP alitaka . Wapate barua kutoka ofisi ya spika na ukumbuke bunge limeanza vikao vya kamati
USSR
Hii ni technical issue ,kuzuia kukamatwa .INAONEKANA SAMIA HAJAPENDA GWAJIMA AKAMATWE.HALAFU DOROTH KAPANIKI ,NA KAONGEA VITU VYA MIPASHO NA USWAHILINI.Hii movie ya gwaj kukamatwa watu wanapenda itokee. Tusubiri episode ya 3 Sasa. Ya Kwanza ya kuagizwa kukamatwa, ya pili ya barua..
KabisaMaelezo mengi kumbe utumbo tu.
Hii sheria inafanya kazi kwa wapinzani? Nakumbuka Sugu alikamatawa several times na hatukusikia lolote toka kwa spikaKwa Sasa iliumkamate mbunge yeyote lazima spika wa bunge apewe barua , nadhani huko nduki
IGP alitaka . Wapate barua kutoka ofisi ya spika na ukumbuke bunge limeanza vikao vya kamati
USSR
Unachokisema si kwa ajili ya wabunge wote ni kwa ajili ya wanaccm tu kwani wakati wa mfumo wa Bunge la vyama vingi tulishuhudia wabunge wa upinzani wakikamatwa hata kwenye eneo la Bunge bila Spika kujua! Kwa sasa hatuendi kwa katiba mpaka hapo uchumi utakapotengamaa.Mleta mada ungeuliza tukujuze kwa nn mwanzo alimhoji/kumuita afike ahojiwe bila kuuliza barua kutoka kwa RC,mahojiano ya kwanza gwajima hakuwa mbunge,kwa Sasa ni mbunge ,na katiba inasema ili kumkamata mbunge ni lazima spika wa bunge apewe barua,halafu na yeye atoe kibali Cha kukwamatwa kwa mbunge husika.kinyume Cha hapo haiwezekani !
hujaelewa hoja, kwaheriUnajichanganya kwenye hoja yako. Unasema Sirro kafanya double standard, wakati huo umesema Sio huyo alisha mkamata Gwajima kwa agizo la Makonda
Sasa kampendelea Nan? Gwajima yule yule, Siro yule yule.