GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,831
“ Wenye Maoni mseme wenyewe na msitumie Migongo ya wengine “
Naona Mkwere wa Watu tokea jana na leo kuna Watu ‘ wamemchefua ‘ mno kwa Kutaka Kwao ‘ Kumgombanisha ‘ na Mbabe wa Kikatiba wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa sasa hivyo na Yeye ‘ anajihami ‘ mapema tu.
Kazi kweli kweli hakyanani!
Naona Mkwere wa Watu tokea jana na leo kuna Watu ‘ wamemchefua ‘ mno kwa Kutaka Kwao ‘ Kumgombanisha ‘ na Mbabe wa Kikatiba wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa sasa hivyo na Yeye ‘ anajihami ‘ mapema tu.
Kazi kweli kweli hakyanani!