Hillary Couldn't Stop Crying, Told Friend She Blames Comey and Obama For Loss

Huyu Mama kabebwa sana ila habebeki. Comey na Obamas kama wasingekua upande wake nadhani angeshindwa vibaya sana, Obama alicha majukumu yake ya kitaifa na kushinda kumpigia campaign Hillary ila Leo anakuja mlalamikia Obama. Smh
Hata mwaka 2008 nomination supposedly ilikuwa yake lakini Obama akaibuka from nowhere akamnyang'anya tonge mdomoni.

2016 nayo hivo hivo!

Kidume Trump bila hata backing ya GOP establishment kaibuka from nowhere nani kumnyang'anya tonge mdomoni.

Imagine wote walompigia kampeni...kuanzia akina Obama...mumewe Bill...Jay-Z na Beyonce...Katy Perry...JLo...Lady Gaga...Madonna...LeBron James...etc....lakini wapi.

Meanwhile Trump alikuwa na basket yake ya deplorables tu....ahahaaa

Noma sana yaani.
 
Hata mwaka 2008 nomination supposedly ilikuwa yake lakini Obama akaibuka from nowhere akamnyang'anya tonge mdomoni.

2016 nayo hivo hivo!

Kidume Trump bila hata backing ya GOP establishment kaibuka from nowhere nani kumnyang'anya tonge mdomoni.

Imagine wote walompigia kampeni...kuanzia akina Obama...mumewe Bill...Jay-Z na Beyonce...Katy Perry...JLo...Lady Gaga...Madonna...LeBron James...etc....lakini wapi.

Meanwhile Trump alikuwa na basket yake ya deplorables tu....ahahaaa

Noma sana yaani.

Vipi Sherrif Joe Arpaio ameshinda?
The toughest sherrif in America
 
1. Dunia ingepata hasara kama 'wa kulialia' angekuwa mkuu wa kaya.
2. Naendelea kujua kwa nini hata wanawake wenzake 44% hawakumpa kura.
 
Kumbe ndo maana labda hakuweza kutoa hotuba ya kukubali kushindwa jana/juzi.

Aache kulaumu wengine. Awalaumu hao pollsters waliomwaminisha kuwa atashinda.


Hillary Clinton "couldn't stop crying" once she learned of her loss to Donald Trump on Tuesday, best-selling conservative author Ed Klein told Newsmax TV on Wednesday.

"About 6:30 this morning she called an old friend," he began on "The Steve Malzberg Show" in an interview. "She was crying, inconsolably.

"She couldn't stop crying.

"Her friend said — her female friend from way, way, back — said that it was even hard to understand what she was saying, she was crying so hard.

"This is Hillary we're talking about," Klein said.

"Eventually," he continued, "her friend said she could make out that she was blaming James Comey, the director of the FBI, for her loss — and this I don't understand exactly — and the president of the United States for not doing enough."

Klein said his source then asked further about President Barack Obama.

"She said: 'Well, she felt, Hillary felt, that the president could have stopped Comey a long time ago, because that's what [former President] Bill [Clinton] said."

Ed Klein: Hillary Couldn't Stop Crying, Told Friend She Blames Comey and Obama For Loss
Mjinga kumbe..she deserves it...who is the master of her fate except herself? ???
 
Alikosea kwanza kumu underestimate Trump. Wakati Clinton akijidai na media kubwa Trump alizikamata Radio za mitaani na mashamba ambako wanaishi wazungu wasiopiga kura ...akawahimiza kuoiga kura...aliwahamasisha wazungu hawa kwa kampeni kali za kuwapa tamaa ya kuirejesha US yao..
Kadi yake dhidi ya uislam na blacks nayo imefanya kazi vizuri kwani imeiyikiwa vizuri na KKK ..
Clinton kumlaum huyu au yule haisaidii. Alijiamini sana na kuamua kufanya kampeni mijini na majimbo zoea ya Democrats ambayo ambayo Trump aliyavunja mbali kwa kampeni zake ndani mashambani wnako ishi wazungu mambo leo...
Kosa jingine kubwa ni kumwacha Sander kuwa mgombea wa makamo urais..ilikua ni kosa la kiufundi....
 
The serious blunder she committed is to underestimate hon. Trump! I am sorry we loved her face but voters said no. Over!
 
Huyu Mama kabebwa sana ila habebeki. Comey na Obamas kama wasingekua upande wake nadhani angeshindwa vibaya sana, Obama alicha majukumu yake ya kitaifa na kushinda kumpigia campaign Hillary ila Leo anakuja mlalamikia Obama. Smh
yaan tayari mushamuamin mleta hzo habari kanakwamba kawawekea video ya tukio hlo la clinton kulia
 
Biggest damn mistake is underestimation zinakufanya hata plans zako ziwe za dharau
 
Hata mwaka 2008 nomination supposedly ilikuwa yake lakini Obama akaibuka from nowhere akamnyang'anya tonge mdomoni.

2016 nayo hivo hivo!

Kidume Trump bila hata backing ya GOP establishment kaibuka from nowhere nani kumnyang'anya tonge mdomoni.

Imagine wote walompigia kampeni...kuanzia akina Obama...mumewe Bill...Jay-Z na Beyonce...Katy Perry...JLo...Lady Gaga...Madonna...LeBron James...etc....lakini wapi.

Meanwhile Trump alikuwa na basket yake ya deplorables tu....ahahaaa

Noma sana yaani.
Ningekuwa na Kiwanda Cha Tractors au kiwanda cha ndege na zana nyingine za kivita kivita, kuna product ningeitengeneza na kuiita 'D.Trump'.
 
Ningekuwa na Kiwanda Cha Tractors au kiwanda cha ndege na zana nyingine za kivita kivita, kuna product ningeitengeneza na kuiita 'D.Trump'.

Halafu kuna kitu nimekikumbuka...

Kama ulikuwa unazifuatilia hizi kampeni kwa ukaribu basi utagundua kwamba Trump alim-outwork Hillary.

Sikumbuki kabisa kusikia au kuona Trump eti kachukua days off kwa ajili ya kupumzika.

Jamaa alikuwa anapiga kampeni kama hana akili nzuri...pamoja na uzee wake wote ule.

Alikuwa anaenda hadi kwenye 'solid blue states' kupiga kampeni halafu watu wakawa wanamcheka eti anajisumbua.

Nani sasa mwenye kicheko cha mwisho?
 
hizo polls huwa sio za kuamini. watu huwa hawako sincere. hata kuhusu brexit, polls zilienda chaka.
kuhusu Trump kushinda sishangai hata kidogo. wamerekani wamewachoka politicians ndo maana wakampa mfanyabiashara. Hillary angeshinda ingekuwa mwendelezo wa obama admin. [imao]
 
Halafu kuna kitu nimekikumbuka...

Kama ulikuwa unazifuatilia hizi kampeni kwa ukaribu basi utagundua kwamba Trump alim-outwork Hillary.

Sikumbuki kabisa kusikia au kuona Trump eti kachukua days off kwa ajili ya kupumzika.

Jamaa alikuwa anapiga kampeni kama hana akili nzuri...pamoja na uzee wake wote ule.

Alikuwa anaenda hadi kwenye 'solid blue states' kupiga kampeni halafu watu wakawa wanamcheka eti anajisumbua.

Nani sasa mwenye kicheko cha mwisho?

Trump is a number one stunner! This is by far the biggest election upset ever
The mother of all upsets
 
Halafu kuna kitu nimekikumbuka...

Kama ulikuwa unazifuatilia hizi kampeni kwa ukaribu basi utagundua kwamba Trump alim-outwork Hillary.

Sikumbuki kabisa kusikia au kuona Trump eti kachukua days off kwa ajili ya kupumzika.

Jamaa alikuwa anapiga kampeni kama hana akili nzuri...pamoja na uzee wake wote ule.

Alikuwa anaenda hadi kwenye 'solid blue states' kupiga kampeni halafu watu wakawa wanamcheka eti anajisumbua.

Nani sasa mwenye kicheko cha mwisho?
Huyu mtu si wa kawaida, ni zaidi ya tunavyomfahamu. Kuna mengi yatafumuka kutoka kambi ya Clinton, maana mengi hayajulikani na kila mtu ni kama anajaribu Ku come out clean.
 
Mkuki kwa nguruwe...... Huyu ajuza, amekuwa mwepesi wa kusahu kama kuku mwenye mdondo, figisu zote alizomfanyia Obama kipindi anataka kuteuliwa na Chama agombee Urais? What's goes around, comes around.

Kitu ambacho Hillary na mumewe wamekubuhu ni kusema uongo na usanii, jamaa hawa ni
waigizaji kweli kweli.

Wakati Bill alipokuwa Rais nilimuona akimkana Monica Lewinsky mtu ungefikiri Msichana huyo anamzulia Clinton - Bill alikuwa apepesi macho yako ngangari kabisa - sikumbuki alibanwa banwaje mpaka akakili lakini kabla ya hapo Raia wengi na Hillary walikuwa wanalahumu sana Monica!

Haya tuje Hillary mwenyewe, kwanza katika kinyanganyiro cha kuwania kuteuliwa kuwania Urais kwa tiketi ya chama chake 2008, Hillary alimwendea Trump wakasuka mipango ya kudai eti Obama si mzaliwa wa Merikani, wakadai ni Mzaliwa wa Mombasa Kenya, jukumu hilo aliachiwa Trump alivalie njuga kama chama pinzani ili Hillary asijulikane kama ndiye the brains behind ya sakata hilo. Hillary alicho kuwa anatafuta pale ni kutaka kumu- eliminate Obama kwa hoja ya uzawa, njama hizo ziligonga mwamba, lakini sina shaka Obama alijua muhusika mkuu wa njama hizo alikuwa nani ndio maana Obama alichukua muda mrefu safari hii kabla ya yeye na mkewe kuhamua kumpigia debe Hillary, alafu hili la Obama kuruhusu Comey achunguze tena Hillary was part of the game za Obama 2 get even indirectly wakati akijua the damage imekwisha fanyika hata baadae akidai Comey kakosea remarks hizo zitakuja zimechelewa!

Vile vile binafsi niliwahi kusikia remarks za Bill Clinton wakati mkewe alipo onekana atashindwa na Obama, Bill alikuwa kwenye kundi la wazungu tu akazungumza maneno ya ubaguzi wa rangi kuhusu Obama mpaka nikashikwa mshangao.

Hillary vile vile ana ubaguzi wa rangi lakini ni makini sana kuuficha, niliwahi kuwambia alivyo kuwa confronted na msichana mweusi Hotelin, akashutumia kwa kutumia code za ubaguzi wa rangi anapokuwa na wazungu wenzake, sikuona Hillary akikanusha shutuma hizo, sasa ukijumulisha na uongo wa kuharibu baadhi ya ushahidi wa E-Mail zake - alitaka aingie Ikulu kwa njia yoyote ile, binafsi nimefarijika kwa yeye kushindwa kwake kupata Urais sina shaka hiyo ni mipango ya Mungu bila hivyo mama huyu ange sababishwa WW3 akishirikiana na Ma Generals wapenda vita na makumpuni ya wakuhunda silaha na ndege za vita.
 
Halafu kuna kitu nimekikumbuka...

Kama ulikuwa unazifuatilia hizi kampeni kwa ukaribu basi utagundua kwamba Trump alim-outwork Hillary.

Sikumbuki kabisa kusikia au kuona Trump eti kachukua days off kwa ajili ya kupumzika.

Jamaa alikuwa anapiga kampeni kama hana akili nzuri...pamoja na uzee wake wote ule.

Alikuwa anaenda hadi kwenye 'solid blue states' kupiga kampeni halafu watu wakawa wanamcheka eti anajisumbua.

Nani sasa mwenye kicheko cha mwisho?

Jamaa huyu ana mbinu nyingi sana, yaani ukiplay back alivyo kuwa anaji conduct kwenye mikutano ya kampein ungefikiri akili zake ni fyatu kidogo, kumbe alikuwa anawalenga makundi fulani!

Sasa msikilize hotuba yake baada ya kushinda Urais - yaani anazungumza yuko level headed kabisa kwa lugha ya staha - Trump wa kampein na Trump Rais mteule ni watu wawili tofauti kama Mbingu na Dunia.
 
Back
Top Bottom