Hillarious miss ever!..check this out

Sikonge

JF-Expert Member
Jan 19, 2008
11,537
6,002
Duuu, nilikuwa nafahamu miguu ina makengeza ila siyo hivyo.

Ukisikia mtu kabaki na goli, huyu ni zaidi ha hiyo maana unaacha goli looote na kuja kupiga post nje na wakati huo kabaki peke yake na Mungu wake. Unaweza siku hiyo ukaamini kuwa kuna juju................
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom