Hili tatizo linaweza kuwa linasababishwa na nini? linanipa shida katika ndoa

Sodoku

JF-Expert Member
Feb 3, 2016
1,095
2,429
binafsi sipendi sana kuzungumzia aina flani ya mambo lakini nadhani si mbaya kama nita share nanyi sababu sifahamiki kwa any of you.

ni miaka kadhaa sasa nipo ndoani .lakini kuna shida kiasi flani katika ndoa ambayo inanipa hard time sometime.

shida kubwa ni kuwa mke amekuwa akilalamika kuwa nachelewa sana kumaliza yeye anaweza kuwa ameshamaliza mara kadhaa lakini mimi nikawa bado sioni hata dalili za kumaliza.suala hili limekuwa likisababisha sometime nabaki hivyo hivyo bila kumaliza maana baadaye anaanza kulalamika kuwa yeye amemaliza mpaka sasa amekauka so nimwandae upya. naweza fanya hivyo tukachukua dk 5-10 akamaliza mimi nikawa bado.

hapo tena anakuja anakauka au anaanza dai anaumia .mimi akishasema anaumia siwezi tena kuendelea na mchezo.sasa najiuliza shida yangu itakuwa ni nini? maana ni miaka mingi sana na tatizo haliishi kiasi kwamba naanza kuwaza mambo mengine ambayo sitaki yaje kutokea kwenye ndoa yangu.

nini inaweza kuwa chanzo cha mimi kutomaliza kwa wakati kila napofanya tendo. maana jambo hili nlianza kulalamikiwa zamani na wapenzi nikiamini nikija oa basi litaisha sababu ntakuwa napata huduma kila siku.imekuwa kinyume. bado nakumbana na changamoto hii sometime hata napokuwa ofisini najikuta uume umesimama mpaka unauma sana.

wakati mwingine hulazimika kukaa hata kama ntahitajika kuinuka sababu napoinuka mtu anaona kuwa mashine imesimama. jambo ambalo si zuri pia. lakini zaid zaid nimekuwa nikijisikia maumivu inaposimama kw amuda mrefu pasipo kupata huduma yake.kwa wenye uzoefu nifanye nini kuepukana na matatizo haya nayoyapata?
 
Huo ugonjwa vijana mtaani tunaita "Chakudinda"


Je wewe Ni mlevi au unatumia vinogeshi Kama vumbi na visisimua vingine vyovyote!?
 
Pole sana...

Tatizo lako ni kwamba huna shahawa za kutoa ndiyo maana ukisimamisha unasimamsha kwa muda mrefu sababu huna cha kutoa...

Tatizo lako ni baya sana...



Cc: mahondaw
 
Dk 10 brother. Huyo hana hisia na wewe kabisa. Possibly there is something work on it
binafsi sipendi sana kuzungumzia aina flani ya mambo lakini nadhani si mbaya kama nita share nanyi sababu sifahamiki kwa any of you.

ni miaka kadhaa sasa nipo ndoani .lakini kuna shida kiasi flani katika ndoa ambayo inanipa hard time sometime.

shida kubwa ni kuwa mke amekuwa akilalamika kuwa nachelewa sana kumaliza yeye anaweza kuwa ameshamaliza mara kadhaa lakini mimi nikawa bado sioni hata dalili za kumaliza.suala hili limekuwa likisababisha sometime nabaki hivyo hivyo bila kumaliza maana baadaye anaanza kulalamika kuwa yeye amemaliza mpaka sasa amekauka so nimwandae upya. naweza fanya hivyo tukachukua dk 5-10 akamaliza mimi nikawa bado.

hapo tena anakuja anakauka au anaanza dai anaumia .mimi akishasema anaumia siwezi tena kuendelea na mchezo.sasa najiuliza shida yangu itakuwa ni nini? maana ni miaka mingi sana na tatizo haliishi kiasi kwamba naanza kuwaza mambo mengine ambayo sitaki yaje kutokea kwenye ndoa yangu.

nini inaweza kuwa chanzo cha mimi kutomaliza kwa wakati kila napofanya tendo. maana jambo hili nlianza kulalamikiwa zamani na wapenzi nikiamini nikija oa basi litaisha sababu ntakuwa napata huduma kila siku.imekuwa kinyume. bado nakumbana na changamoto hii sometime hata napokuwa ofisini najikuta uume umesimama mpaka unauma sana.

wakati mwingine hulazimika kukaa hata kama ntahitajika kuinuka sababu napoinuka mtu anaona kuwa mashine imesimama. jambo ambalo si zuri pia. lakini zaid zaid nimekuwa nikijisikia maumivu inaposimama kw amuda mrefu pasipo kupata huduma yake.kwa wenye uzoefu nifanye nini kuepukana na matatizo haya nayoyapata?
 
hana feeling na ww pia si kweli kwamba anafika mara kadhaa anaigiza.... mchunguze kwa utaratibu na umakini, wa hivi utakuta wanagongwa pia nje
 
Hisia za kuuwazia uchi mpaka ukakufanya ukojoe haraka zimepotea au huna.Maana nachojua mimi mpaka ufike uwe umenogesha kweli ubongo kwa mitusi
 
Hyo atakuwa anapata maumivu na kufika hafiki na inaezekana hujawah mfikisha kileleni hata siku moja,hvo bas ameshajikatia tamaa na hana mzuka tena
Kingine inaweza kuwa ana infections kwenye via vya uzaz(P.I.D)or any jaribu kwenda hospital ukafanye baadhi ya vipimo like vaginal swab

Kingine hakikisha unamuandaa vzur kuandaa sio kutomasa tu na kubinya matiti sijui nini kuna suala la psycholojia,kama psychologia hayuko vzur hata ufanyeje bado hainog
.Chakula,hakikisha anakula vzur,matunda na maji kwa wingi so kila sku ugal matembele
 
Back
Top Bottom