Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,069
- 3,705
Hapo vip!
Hili tatizo laumeme tunaomba wahusika waliangalie kwa jicho la kiuchumi.
Uchumi wa watanzania wengi unategemea umeme, sasa kama umeme unakatwa kirahisi rahisi tu. Tafsiri yake nikwamba serikali na Tenesco mmekuwa chanzo cha umaskini kwa Watanzania.
Tunaomba serikali iwe sereous na maisha ya wananchi wake, waziri wanishati alitoa kauli ya kisiasa yakwamba anawapa Tenesco siku nne wahakikishe umeme unakuwa wa uwakika. Naona siku nne zimeshapita, bado tatizo limekuwa kubwa zaidi.
Tunaomba waziri aende mbali zaidi achukuze kama kuna uzembe watu wawajibishwe huu sio muda wa kuleana, huku mabilioni ya Watanzania wakiteseka.
Hili tatizo laumeme tunaomba wahusika waliangalie kwa jicho la kiuchumi.
Uchumi wa watanzania wengi unategemea umeme, sasa kama umeme unakatwa kirahisi rahisi tu. Tafsiri yake nikwamba serikali na Tenesco mmekuwa chanzo cha umaskini kwa Watanzania.
Tunaomba serikali iwe sereous na maisha ya wananchi wake, waziri wanishati alitoa kauli ya kisiasa yakwamba anawapa Tenesco siku nne wahakikishe umeme unakuwa wa uwakika. Naona siku nne zimeshapita, bado tatizo limekuwa kubwa zaidi.
Tunaomba waziri aende mbali zaidi achukuze kama kuna uzembe watu wawajibishwe huu sio muda wa kuleana, huku mabilioni ya Watanzania wakiteseka.