Ukifuatilia zaidi utangundua kuwa ni generation flani ndio imekumbwa na hili janga,maana hata baadhi ya viongozi wa ngazi za juu nao wamo walio kwenye hili janga,ukiachilia wale ambao kutokana na lafudhi za lugha zao ambapo hili kwao haliepukiki..Unakuta mtu kaandika
Kalibuni badala ya Karibuni, Selikali -Serikali etc Je ni moja ya viashiria vya kuporomoka kwa Elimu yetu ama ni nini?
Hahahaa lake zone wanaongoza...kuna makabila baadhi hata asome mpaka PhD bado ana hako kahali.
Amekosea wapi hapo?Kurogwa ndio sawa au unafikiri ni kilugha kulogwa?
Hili ni janga la kitaifa.
Unakuta mtu kaandika
Kalibuni badala ya Karibuni, Selikali -Serikali etc Je ni moja ya viashiria vya kuporomoka kwa Elimu yetu ama ni nini?
Mtoa mada kashindwa kuchagiza na huo uharibifu unaotusuliwa nowaday na baadhi ya watu kama hiyo uliyoandika hapo.pia kuna kabila lipya limezuka. wanaweka "o" badala ya "a"
jomoni=jamani
Amekosea wapi hapo?Kurogwa ndio sawa au unafikiri ni kilugha kulogwa?