Pota
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 2,031
- 760
Kuna tangazo moja la simu za mikononi, utasikia "simu unayopiga haitumiki kwa sasa, mteja amehamia airtel, hamia sasa......"
kumbe wateja wakihamia huko wanakuwa hawaatumii tena simu au....?wanatumia nini sasa? halafu watu wenu wahame mara ngapi? mara celtel, zain, airtl. mtahama marangapi? kwani nyie wapangaji?
kumbe wateja wakihamia huko wanakuwa hawaatumii tena simu au....?wanatumia nini sasa? halafu watu wenu wahame mara ngapi? mara celtel, zain, airtl. mtahama marangapi? kwani nyie wapangaji?