Wewe una hata hisa ya 0.0001% kwenye online tv? Maana nikisema Radio's na Tv zinazotumia satellite nitakuwa nakuonea masikini wewe.Kwani unaongelea nn tv na redio ni zake yule au anahisa ndogo tu
Na wewe teja vilevile ndio maana unaangalia na kufatiliaNaona wamechukua mateja wote hakuna shoo hapo bali upuuzi
Sasa WizKid ana amsha amsha gani kwa wabongo wadaslama?bila wizkid kujaa ingekuwa ndoto, mshukuruni Starboy
Kenge wewe, niko nimepumzika kesho naamkia kanisani, tatizo kelele za spika zenu za huko posta zinanivurugia usingizi. Siwezi simama huku nikiangalia mwanaume akiimba hna kupiga makofi kama msukuleNa wewe teja vilevile ndio maana unaangalia na kufatilia
Halijielewi hilo.Acha roho ya ajabu mkuu ulitaka.iweje yanii au kua teamfulan kunawafanya mnanza kupinga hadi na uzuriii ujamuona profesa j na wengn kibao
Naskia wanaondoka na kifuta jasho cha 50,000 kila mmojaKwahiyo msanii moja hapo analamba kiasi gani?
hakuna kitu kama hiyo bangi haina shida, labda kichwa yako ina wadudu ndo maana unawehuka, wavuta bangi ni wastaarabu sanaWe tambua kama unavuta bangi kichwa chko hakipo sawa kama hao wahuni wenzako waliopanda stejini
Nna miliki figo na maini na moyo acha ushabiki maandazi sote tunajua kutukana humu usifkiri mtu kukuuliza ni ndeezi au kukujibu kistaarabu ni koloWewe una hata hisa ya 0.0001% kwenye online tv? Maana nikisema Radio's na Tv zinazotumia satellite nitakuwa nakuonea masikini wewe.
Tv na Radio vina title yake ambayo yeye ndio founder wake (WASAFI) haijalishi ana hisa 10 au 5 we don't care.
Wewe unamiliki nini zaidi ya majungu?