Hili swali lilimuuma sana Micah X.Johnson kama Timothy Mcveih!!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,782
Habari zilizopo mpaka hivi sasa ni kwamba aliyewaua askari 5 kwa Risasi huko Texas, USA alikuwa ni vetaran ktk Afghanstani, yaani alikuwa ni Mwanajeshi mstaafu aliyekuwa anaitumikia nchi yake huko Afghanstani, sasa nafikiri kilichomuuimiza sana Askari Johnson mpaka kufikia uamuzi alioufikia ndiyo kile kile alichokisema W.E.B Du Bois ambaye alikataa kwenda kuipigania nchi yake huko Vietnam na Du Bois alipoulizwa kwa nini alikataa kwenda kuipigania USA alisema kwamba hakuna Mvietnam aliyewahi kumuita Nigga bali anaitwa Nigga ndani ya USA hivyo basi yeye kama mtu mweusi hana Ugomvi na Vietnam vile vile kwa Mveterani Johnson amekwenda kuilinda USA amehatarisha maisha yake kwa ajili ya USA anarudi nyumbani USA raia wa USA anapigwa risasi na mwajiriwa wa Serikali ya USA at close range kwa sababu tu ametokea kuwa na rangi nyeusi yaani rangi ya Johnson, Du Boiss &Co. nafikiri maswali ya Johnson yalikosa majibu ndiyo maana akamaamua kufanya alivyofanya ...

Inanikumbusha Oklahoma City Bombing na Timothy Mcveih naye pia alikuwa ni Veteran wa kivita ambaye alirudi nyumbani kwao USA na kukuta yale yote ambayo nchi yake ilimtuma kuyapigania na kuhatarisha maisha yake ndiyo ambayo USA inawafanyia Raia wake wake ndani ya USA kwa hasira akaamua kupiga Bomu USA!

Warumi 6:23
,,Mshahara wa dhambi ni Mauti"​

Oklahoma City Bombing - Timothy Mcveih!
800px-Oklahomacitybombing-DF-ST-98-01356.jpg


Timothy Mcveih!
Aa_McVeigh_sketch_and_pic.jpg

Micah x. Johnson!
Dallas_Heckenschuetze_war_Afghanistan-Veteran-Wollte_Weisse_toeten-Story-519019_630x356px_52fd49dbe11df162ffb524efdbc94ed2__0_wei_e_toetenstory_jpg.jpg

Sajenti Johnson!
Cm3fby5WEAQWGZT.jpg
 
Injustice anywhere is a threat to justice everywhere....by Martin Luther King Jr.
Am worried a lot of Sajent Johnson will arise! America has no choice but to respect the people of color amd have their dignity at heart. 300yrs down the line of liberty, african american and indeed a black person has to still make himself clear to a white that HE is a human being! Camoooon! These crooked white will ripe what they saw....I guess.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom