Mkuu ukianza kufuatilia akili za wanawake utachanganyikiwa.
WE waache tu.
Sometimes hata wao wenyewe huwa wanajishangaa wakoje.
Mkuu ukianza kufuatilia akili za wanawake utachanganyikiwa.
WE waache tu.
Sometimes hata wao wenyewe huwa wanajishangaa wakoje.
Mnapenda kutuangalia bana. Tukivaa kiheshima mtapata taabu sana, mtaosha macho wapi?
Lakini siku hizi ndani mnavaa surual mbano tena za jeans na nje mnavaa hijabu la kushangaza baadi gest mnakuja na hijabu kwenye kuvua ndo tunakuta mbano ndani
kwahiyo wanaovaa hivyo ni wakristo tu?
Acha ujinga wewe..hujui utani?Poooor mind
Ndo munavyotakiwaMnapenda kutuangalia bana. Tukivaa kiheshima mtapata taabu sana, mtaosha macho wapi?
Ha haaa mtulie basi mpate burudaniNdo munavyotakiwa
Daaah nilikua bush mda kidogo sasa ni kama mwezi natembea town juzi kati naingia bank flani nakutana na mabinti wakutosha hizo nguo fupi ndio habari yenyewe, nimekaa siti za mbele kidogo yupo binti amevaa kakimini kake na ndio hivyo tena mungu kamjaalia nabaki kuona nusu ikulu, baasi tena ndo nikaishia hivyohivyo.
Burudani show kitandanHa haaa mtulie basi mpate burudani
Ndo manakeBurudani show kitandan
Sina neno lakini nakula.kwa macho kwa demiNdo manake
Mi sivaagi hivyo..nguo fupi sipendeziSina neno lakini nakula.kwa macho kwa demi
Wow nimekupenda burebarikiwa sana maana munatupa shida sanaMi sivaagi hivyo..nguo fupi sipendezi
Sidhani km mnaweza kutuelewa..kuna raha flani hiviMimi huwa sipati majibu juu ya mwanamke kuvaa kigauni kisichofunika magoti na kuendesha gari. Akikaa ndani ya gari mapaja yanakuwa nje.
Wadada mnisaidie hapo kuondoa uyungiyungi nilionao
Namuona Zodwa Wabantu teh teh teh!Acha tu, labda wanawake wamezidi, nasi hatutongozi...
View attachment 805726
Kapicha boss, wengine habari bila picha huwa inapoteza mvuto.Kichwa cha uzi kinajieleza.
Huu mtindo wa wanawake hasa wanaoishi mjini wa kuvaa nguo/sketi fupi zinazoishia magotini au juu ya magoti halafu wakiwa wanatembea utawaona wanajishika shika hiyo sketi fupi na kuivuta chini ili ifunike vizuri magoti ilihali ni fupi na mwenyewe anajua ni fupi jambo ambalo anajua kabisa haliwezekani ila anafanya tu ama kwa kuona aibu akiangaliwa/akikudolewa macho na mtu mwingine hasa wanaume, mnakera sanaaa.
Mwanamke aliyevaa hiyo sketi fupi akitaka kukaa, sketi inajivua na kurudi nyuma huku ikiacha sehemu yote ya magoti ikiwa wazi hadi mapajani na hapo utamuona anachukua kamkoba kake alichokuwa nacho na kukiweka mapajani hasa kwenye sehemu anayoona iko wazi ili afunike, mnajisumbua na kuhangaika hivyo ilihali unauwezo wa kuvaa nguo zenye kukusitiri vizuri, mnakera sanaaa, mtapata tabu sanaaa maana wanaume rijali lazima wapige chabo kwa kwenda mbeleee
Wengine unakuta hawajafunga kufuli halafu anajisahau anapokaa ama akiwa anapiga stori na mwenzio au akiwa busy kuperuzi hapa JF kufuatilia habari za hapa na pale ama MMU au ana chit-chatika, ukipiga jiko hadi unaona aibu, mnakera sanaa, mtapata taabu sana kupigwa chaboo na marijali.
Badilikeni bana, vaeni nguo za heshima zenye kusitiri mwili vizuri ili iwe kioo kwenye jamii na kukuza maadili mema hasa kwa watoto wadogo ambao wanakua maana mtoto anatabia kuiga kitu/tabia anayoina na kuifuta kadri anavyoendelea kukua.