Mjamaa1
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,267
- 5,423
Mashallah chura IPO thanks God kwa hilo
Nice ngoja nije PM tuyajenge Majeshi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashallah chura IPO thanks God kwa hilo
Hahahaaa. Lol.Uvae Dela una CHURA? Kama huna haina tofauti na kanzu tu
Safi sana Kaka ake.Mimi zamani walinipa shida sana, kila nikiona mwanamke kavaa kinguo kifipi moyo unalipuka,lakini sikuhizi nimeshazoea hata siwaangalii tena...
Wanatufanya tuzoee kuangalia hayo mambo na kupoteza hisia, ndio maana tukiwazoea tunaona kama ni kitu cha kawaida na tunakosa kusisimuka kwa harakaDaaah nilikua bush mda kidogo sasa ni kama mwezi natembea town juzi kati naingia bank flani nakutana na mabinti wakutosha hizo nguo fupi ndio habari yenyewe, nimekaa siti za mbele kidogo yupo binti amevaa kakimini kake na ndio hivyo tena mungu kamjaalia nabaki kuona nusu ikulu, baasi tena ndo nikaishia hivyohivyo.
Tatizo wanadandia gari kwa mbele, watapata taabu sana....Mkuu wanashindwa kuelewa jinsi wenzao wanavyokaa hasa wazungu wanavaa nguo fupi then wakikaa wanakunja nne na kubana miguu ila kwa wabongo hawajui hiyo kitu.