Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 46,988
- 39,784
Mimi huwa nakodolea macho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka tuone kama ni kweli wa biaWewe unataka kuona mguu wangu wa bia
HahahahhahahaaaaaMi juzi nilimwacha mmoja kituoni baada ya kushindwa kunyanyua mguu aingie kwenye gari maana nilisimama sehemu isiyo halali nikaona nasababisha foleni bila sababu nikamwambia funga mlango kwanza nipaki vizuri akafunga huwezi amini nilisogea mbele kidogo nikanyoosha zangu moja kwa moja
ntakutumia pichaHongera sana kama ni kweli usemacho
Tatizo wanavaa visketi vya wadogo zao yaani gari v.8 eti anashindwa kunyanyua mguu auweke ndani..mi nikaona kama ananiigilizia kumbe yuko siriusHahahahhahahaaaaa
Ulimsomesha namba sana, hata pilika pilika za kupanda dala dala wanapata tabu sana lakini hawakomi
Lakini siku hizi ndani mnavaa surual mbano tena za jeans na nje mnavaa hijabu la kushangaza baadi gest mnakuja na hijabu kwenye kuvua ndo tunakuta mbano ndanime navaaga kiislam kabisa
hapanihusu hapa
Vaa lakini ya heshma sasa sio kama umesahau ukavaa ya mdogo wakoMnapenda kutuangalia bana. Tukivaa kiheshima mtapata taabu sana, mtaosha macho wapi?
Sawa mkuuVaa lakini ya heshma sasa sio kama umesahau ukavaa ya mdogo wako
Tunafanya kwaajili yenu jamani..at least show appreciationNinyi mnavyohangaika na kupata tabu hivyo mnaona ni vizuri kisa sisi tuoshe macho..?
Tunafanya kwaajili yenu jamani..at least show appreciation