Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,353
- 11,496
Tunashindwa kusema Serikali imekosea na tunashindwa kusema Wamachinga walikosea.
Kwa kweli hapa hata wapinzani tunapoulizwa tunajikuta tunajibu swali ambalo halikuulizwa. Muulize tu mpinzani akupe jibu.
Je, Serikali kuwaondoa Wamachinga pembezoni mwa barabara ipo sahihi au imekosea. Utasikia jibu lake
Hili limekuwa gumu hata kuanzishia space na mijadala kule clubhouse. Maana linauma kote kote.
Kwa kweli hapa hata wapinzani tunapoulizwa tunajikuta tunajibu swali ambalo halikuulizwa. Muulize tu mpinzani akupe jibu.
Je, Serikali kuwaondoa Wamachinga pembezoni mwa barabara ipo sahihi au imekosea. Utasikia jibu lake
Hili limekuwa gumu hata kuanzishia space na mijadala kule clubhouse. Maana linauma kote kote.