Hili suala la Tuisila Kisinda na Clatous Chama linanishangaza

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,321
11,410
Huyu ni Clatous Chotas Chama. Huwa hana mbio sana. Ni mtembeaji tu Uwanjani. Ana assist 15. Angalia mwenyewe ASSIST ngapi? 15 na magoli mangapi? 7 kama sikosei

Screenshot_20210720-105352~3.png


Huyu ni Tuisila Tununu Tusinda. Huwa ana mbio sana. Ni mkimbiaji uwanjani. Ana assist 5. Angalia mwenyewe ASSIST ngapi? 5 na magoli mangapi 4 kama sicko
Screenshot_20210720-105358~4.png


Sasa hapa ndo nachanganyikiwa. HUYU TUISILA KISINDA HUWA ANAKIMBILIA NINI? Maana mbio zake hazina maana sasa. Si bora awe anatembea ana assist magoli na kufunga sometimes kuliko kukimbia kimbia tu kama mwendawazimu?

Kuna tofauti kubwa usajili wa Simba na Yanga. Yanga wanaweza kukusajili tu kwa kuwa una mbio sana. Au una suka rasta au kupaka nywele zako rangi. Lakini Ukisema wewe Mkongo hapo unasajiliwa kwa haraka zaidi. Tofauti na Simba. Wanatulia kwanza wana check..... Kisha wanasajili. Kama walivyofanya kwa Bernard Morrison, Chama, Luis, Bwalya, Mugalu n.k.

Tulikuwa tunakunywa mtori sana. Nyama zimekutwa zipo chini. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Tuisila Kisinda Mchezaji mzuri, tatizo lake dogo ni pasi ya mwisho, Mara nyingi anainua mpira juu sana kiasi unavuka upande wa pili wa Gori. Akifanyia kazi hilo na kupiga mpira mingi ya chini na kwa nguvu anaweza kuwa hatari zaidi.

Kingine Yanga wamjaribu kimtumia kiwa anatokea katikati kwa mfumo wa Counter attack. Anaweza akasumbua sana
 
Tuisila ana miaka 22 bado umri mdogo na ana nafasi kubwa ya kuendelea kua mtamu, ana muda wa kuendelea kuji funza . Chama yeye ndio amefikia kwenye ubora wake na kwa Hali ilivyo Pale Simba ndio amesha maliza Hana nafasi ya kucheza ulaya Wala Timu yoyote kubwa au Ligi yoyote yenye ushindani mkubwa. Anamalizia pensheni yake, Kasi ya uchezaji wake haimpi nafasi ya kucheza kokote kwenye mpira wa nguvu na Kasi. Mfano Siku ambayo anacheza dhidi ya Yanga mpira unakua na Kasi Sana na nguvu kubwa, pale chama uwa anapotea kabisa na mechi za aina hii ndizo zilizopo katika nchi zenye ushindani.
 
Huyu ni Clatous Chotas Chama. Huwa hana mbio sana. Ni mtembeaji tu Uwanjani. Ana assist 15. Angalia mwenyewe ASSIST ngapi? 15 na magoli mangapi? 7 kama sikosei

View attachment 1860679

Huyu ni Tuisila Tununu Tusinda. Huwa ana mbio sana. Ni mkimbiaji uwanjani. Ana assist 5. Angalia mwenyewe ASSIST ngapi? 5 na magoli mangapi 4 kama sikosei
View attachment 1860683

Sasa hapa ndo nachanganyikiwa. HUYU TUISILA KISINDA HUWA ANAKIMBILIA NINI? Maana mbio zake hazina maana sasa. Si bora awe anatembea ana assist magoli na kufunga sometimes kuliko kukimbia kimbia tu kama mwendawazimu?

Kuna tofauti kubwa usajili wa Simba na Yanga. Yanga wanaweza kukusajili tu kwa kuwa una mbio sana. Au una suka rasta au kupaka nywele zako rangi. Lakini Ukisema wewe Mkongo hapo unasajiliwa kwa haraka zaidi. Tofauti na Simba. Wanatulia kwanza wana check..... Kisha wanasajili. Kama walivyofanya kwa Bernard Morrison, Chama, Luis, Bwalya, Mugalu n.k.

Tulikuwa tunakunywa mtori sana. Nyama zimekutwa zipo chini. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kama Surpong ,Yacouba angekuwa finisher mzuri, Kisinda angekuwa anazo zaidi ya Chama. Chama ana assist nyingi sababu ana watu wakuzibaidili kuwa magoli. Kama msimu Yanga wangekuwa na striker kama Makambo, Yanga angekwa na asilimia kubwa ya kuchukua ubingwa.

Msimu huu Surpong kawafanya mashabiki wa Yanga wakaange chips.
 
View attachment 1860715
View attachment 1860719

Kadhia ya Mbio za Tuisila Kisinda anazijua Zimbwe & Onyango.
Oooh.... Hawa hawa waliochukua Ubingwa? Kwa hiyo alisajiliwa ili awe anawapa kadhia Onyango na Zimbwe? Ndo tofauti ya Simba na Yanga ipo hapo. Simba inasajili wachezaji kwa kuangalia matches za kimataifa. Yanga inasajili Kwa ajili ya Simba na Simba inasajili kwa ajili ya Ubingwa na Mashindano makubwa
 
Kama Surpong ,Yacouba angekuwa finisher mzuri, Kisinda angekuwa anazo zaidi ya Chama. Chama ana assist nyingi sababu ana watu wakuzibaidili kuwa magoli. Kama msimu Yanga wangekuwa na striker kama Makambo, Yanga angekwa na asilimia kubwa ya kuchukua ubingwa.

Msimu huu Surpong kawafanya mashabiki wa Yanga wakaange chips.
Hamna kitu pale ...kwani kafunga mwenyewe ngapi
 
Tuisila ana miaka 22 bado umri mdogo na ana nafasi kubwa ya kuendelea kua mtamu, ana muda wa kuendelea kuji funza . Chama yeye ndio amefikia kwenye ubora wake na kwa Hali ilivyo Pale Simba ndio amesha maliza Hana nafasi ya kucheza ulaya Wala Timu yoyote kubwa au Ligi yoyote yenye ushindani mkubwa. Anamalizia pensheni yake, Kasi ya uchezaji wake haimpi nafasi ya kucheza kokote kwenye mpira wa nguvu na Kasi. Mfano Siku ambayo anacheza dhidi ya Yanga mpira unakua na Kasi Sana na nguvu kubwa, pale chama uwa anapotea kabisa na mechi za aina hii ndizo zilizopo katika nchi zenye ushindani.
But ni huyu huyu amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa team ya mashindano ya CAF. sasa nyie Yanga mnazungumzia mashindo ya mpira upi tena? Chama ni mchezaji mzuri sana ambaye kwa sasa hakuna mwenzi wake ukanda huu. Na CAF WAMETHIBITISHA HILO. BILA CHUKI. TUSILA TUNUNU YEYE HALI YAKE IKOJE?
 
Oooh.... Hawa hawa waliochukua Ubingwa? Kwa hiyo alisajiliwa ili awe anawapa kadhia Onyango na Zimbwe? Ndo tofauti ya Simba na Yanga ipo hapo. Simba inasajili wachezaji kwa kuangalia matches za kimataifa. Yanga inasajili Kwa ajili ya Simba na Simba inasajili kwa ajili ya Ubingwa na Mashindano makubwa
Halafu wamechukua kombe gani huko kwenye hayo mashindano ya kimataifa.😨😨😨.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom