Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,087
- 6,568
Anasimama mbunge bila hata aibu anasema sasa Mahotel ya Dar es salaam yamejaa watalii sababu ya Royal tour. Ni aibu kabisa kuwa na mbnge kama huyu naona aibu hata kumtaja.
Mwingine bila hata aibu anasema Royal tour imeibua fursa mpya kwa wananchi wa Tanzania kuanzia kusini mpaka Kaskazini. Ajira za kila aina zimeanza kupatikana baada ya royal tour kuingia nchini.
Hawa ndio wabunge wanaolipwa kwa kodi za walalahoi
Mwingine bila hata aibu anasema Royal tour imeibua fursa mpya kwa wananchi wa Tanzania kuanzia kusini mpaka Kaskazini. Ajira za kila aina zimeanza kupatikana baada ya royal tour kuingia nchini.
Hawa ndio wabunge wanaolipwa kwa kodi za walalahoi