Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Kama wananchi maskini na wasio uhakika wa maisha yao wanakamuliwa kodi zao kisha zinatumika kulipa wabunge wa namna hii basi ni maumivu makubwa kwao
Kwamba bunge ambalo ni sehemu ya wanannchi ambao lilituma wawawakilishi wao alafu hao wawakilishi wanaenda Bungeni kama wamevaa nguo za disko na kisha kuvuta posho bila hata kutetea maslahi yao, basi hapo ni hasara
Kwamba kunakuwa kunakuwa na wabunge ambao bila hata aibu wanamchangia mwenzao ili akafanye vurugu kwenye msiba wa mchepuko.
Kwa ufupi wananchi hawana Bunge la kuwatetea. Bali kuna genge la watafuna kodi za wananchi.
Kwamba bunge ambalo ni sehemu ya wanannchi ambao lilituma wawawakilishi wao alafu hao wawakilishi wanaenda Bungeni kama wamevaa nguo za disko na kisha kuvuta posho bila hata kutetea maslahi yao, basi hapo ni hasara
Kwamba kunakuwa kunakuwa na wabunge ambao bila hata aibu wanamchangia mwenzao ili akafanye vurugu kwenye msiba wa mchepuko.
Kwa ufupi wananchi hawana Bunge la kuwatetea. Bali kuna genge la watafuna kodi za wananchi.