Hahahah mi nadhani ınahusu bibie kwani kwa tabia na akili za huo mmiliki wa nundu kwa kweli nashindwa kukupinga.wakati nikiwa mdogo nilikuwa nambiwa watu wenye nundu hivyo usiku huwa wanageuka wanyama wenye pembe moja.......sasa sijui kama inahuuu
Mwanga huyo
jamani ni ugonjwa tu huo
kaipata Sokonikiona mbali hicho
acha ujinga alikuambia muislam,au kwa ajili ya jina,hovyoooooAlienda kuswali na hirizi mfukoni...ile kugusa sakafu tu ya msikiti lahaula
Tukitoka hapa tuta'discuss nundu za kukalia.
kweliiiii hii nimependakiona mbali hicho