Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shule zipi hizo? Hizi hizi ambazo hazina madirisha au milango? Hizi hizi ambazo tundu mbili za Choo wanatumia watoto 2000?! Au IST? Unaweza kuondoka na ugonjwa mwingine.
Halls of residence za university gharama haiwezi kuwa US$ 80Shule zipi hizo? Hizi hizi ambazo hazina madirisha au milango? Hizi hizi ambazo tundu mbili za Choo wanatumia watoto 2000?! Au IST? Unaweza kuondoka na ugonjwa mwingine.
Kenya - Nairobu university wanacharge 20$. Sio mbaya sana.Halls of residence za university gharama haiwezi kuwa US$ 80
$20 per month,week or day?Kenya - Nairobu university wanacharge 20$. Sio mbaya sana.
Hata hapa wangeweza kutumia zile hostel za magufuli pale UDSM na kudai kiasi kidogo cha pesa.
Sent using Jamii Forums mobile app
ndizo hizo hzo ndg,mbona wanafunzi wanasoma tena miaka saba wanamaliza au sio binadamu wale??,Shule zipi hizo? Hizi hizi ambazo hazina madirisha au milango? Hizi hizi ambazo tundu mbili za Choo wanatumia watoto 2000?! Au IST? Unaweza kuondoka na ugonjwa mwingine.
Okayndizo hizo hzo ndg,mbona wanafunzi wanasoma tena miaka saba wanamaliza au sio binadamu wale??,
kama ni ndiyo,
watashindwaje wa siku 14 tu??
Sent using Jamii Forums mobile app
Control mechanism
Chakula utajitegemea lakni mkuu si unajua ilo?Watutajie hizo shule niende naona kichwa kinaniuma kiajabuajabu halafu macho yanajaa ukungu.