wakatanta
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 2,593
- 3,148
Nimeangalia clip ya jamaa anaeitwa Daniel Maleki, anaedaiwa kachana kitabu cha Quran mkoani morogoro imenishangaza sana na kunistajabisha
Kama ni kweli imethibitika alichokichana na kutemea mate ni kitabu cha Quran tukufu , basi huu ni mpango mkakati wa uchokozi wa makusudi kabisa wenye lengo la kuleta mtafaruku mkubwa sana wa kiimani kuelekea uchaguzi mkuu wa urais ,ubunge na udiwani hapo 2020 October ,tukio hili ni la hatari sana,
Lengo ni moja tu ,kutafuta attention ya jumuiya ya kimataifa kupata kisingizio cha intervention vurugu zitakopotokea ,ionekane serikali imeshindwa kutunza amani ,na hili linainjiniwa na baadhi ya watanzania wenzetu kwa ustadi wa hali ya juu sana.
Nivisihi vyombo vya ulinzi na usalama kuwa makini na viashiria vya namna hii,
Assume hapo waislamu wange -react ingekuwaje?,uharibifu wa mali , damu nyingi ingemwagika kukiambatana na uhalibifu wa nyumba za ibada ,na si afya kwa utaifa wetu.
Niwapongeze waislamu kwa utulivu walionyesha dhidi ya dhihaka hii.
Tulinde amani ya nchi yetu kwa pamoja ,amani ndio msingi wa maendeleo yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni kweli imethibitika alichokichana na kutemea mate ni kitabu cha Quran tukufu , basi huu ni mpango mkakati wa uchokozi wa makusudi kabisa wenye lengo la kuleta mtafaruku mkubwa sana wa kiimani kuelekea uchaguzi mkuu wa urais ,ubunge na udiwani hapo 2020 October ,tukio hili ni la hatari sana,
Lengo ni moja tu ,kutafuta attention ya jumuiya ya kimataifa kupata kisingizio cha intervention vurugu zitakopotokea ,ionekane serikali imeshindwa kutunza amani ,na hili linainjiniwa na baadhi ya watanzania wenzetu kwa ustadi wa hali ya juu sana.
Nivisihi vyombo vya ulinzi na usalama kuwa makini na viashiria vya namna hii,
Assume hapo waislamu wange -react ingekuwaje?,uharibifu wa mali , damu nyingi ingemwagika kukiambatana na uhalibifu wa nyumba za ibada ,na si afya kwa utaifa wetu.
Niwapongeze waislamu kwa utulivu walionyesha dhidi ya dhihaka hii.
Tulinde amani ya nchi yetu kwa pamoja ,amani ndio msingi wa maendeleo yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app