Hili ni tone tu kati ya bahari ya msaada wa Tanzania kwa SADC, tujikumbushe ilivyokuwa.

REDEEMER.

JF-Expert Member
Feb 22, 2015
8,925
14,880
Wakenya ninyi vilaza sana hamfahamu lolote kabisa kuhusu Tanzania yaani ninyi ni myopia linapokuja suala la kujua history ya Tanzania

Na sijui kama wenzangu hili mmeliona, kwa muda niliokaa hapa jf nimeushuhudia ombwe kubwa la ufinyu wa akili wa wakenya linapokuja suala la ufahamu juu ya nchi nyingine, nimeshuhudia kauli kutoka kwao wenyewe kwamba Watanzania tunajua mengi sana kuhusu nchi yao na historia yao yote

Lakini mkenya hajui hata history ya Uganda sijui ni mamburura kwenye kusoma vitabu au kupenda kujua history, by the way nilivyokua nasoma shule, somo ambalo lilikuwa likiongoza kwa ufaulu wa jumla kwa wanafunzi wote ni somo la history na ni somo ambalo katika curriculum ya Tanzania limesheheni haswa, sijui labda kutokana na Tanzania kuwa na history kubwa sana na nchi za Afrika ndio maana somo likawa limeshiba dose kiasi hiki au vipi hilo mtanisaidia

Ipo history kubwa sana nyumbu kutoka Norwich hawana walijualo kabisa kuhusu history ya Tanzania, I wish mngepata access TBC ambayo ndio studio iliyosheheni makala kubwa kuhusu Africa liberation struggles in Africa, yaani ndio inaongoza Africa kwa wingi wa contents zinazohusu history mzima ya Africa kwa njia ya videos na audio and much more still pics.

Haina haja ya kujua history ya Tanzania na SADC ndugu zetu sababu haiwahusu, ninyi mkijua yenu na Somalia na Sudan inatosha, Tanzania ni mtambo mkubwa hamuwezi kuumudu, issue inakuja pamoja na umburura wenu kuhusu Tanzania bado mnajifanya vinara wa kuiongelea Tanzania na ndugu zetu SADC as if mnayo tangible facts za kusimamishia hoja, pathetic

Kuna Wakenya wanaamini eti wameizidi Tanzania kwenye sector ya kilimo (niliwashangaa sana kwenye thread ile kwamba hawajui Tanzania ni permanent top 5 player in general agricultural producer in Africa wakati Kenya ikiwa inakokota mkia) mambo haya na mengine mengi ndio yamenifanya nizidi kuwaona hawa watu ni zero brains kubwa

Sasa em tuone namna Nyerere alivyosimamisha uhusiano na beberu la kibritish on the spot juu la dhulma iliyokua ikitendeka huko Southern Rhodesia (mungiki nendeni Google kutafuta huu msamiati wa Southern Rhodesia sababu hakuna kati yenu hata mmoja anajua ni nini hicho)

Hii video inaonesha namna Tanzania haijawahi kuwa na haya wala uoga kwa mabeberu, we confronted them up and demand what we need and they granted ASAP

Video pia inaonesha misuli ya Tanzania kiuchumi kiasi cha kugharamia kila kitu kwa nchi zote za SADC ziwe huru sababu kuna nyumbu mmoja jana nilimshuhudia akijidanganya kwa ushiriki wa Tanzania kwa liberation struggles ulikuwa tu kutoa refuge kwa exiles (pathetic Bwana254 get this in your tiny thick skull you know nothing) kwa hiyo nikaona kweli hawa mburura ni shida.

Just observe mazingira ya Dar, uelewa mpaka wa Watanzania kuhusu haki ya Waafrika wenzao, ujasiri wa Watanzania kuandamana nchi nzima sababu ya kupigania haki ya Waafrika wenzao (but they never did this to Kenya) na Kenya ilipata uhuru baada ya Tanzania lakini Tanzania haikuwahi hata kujisumbua kuona nini cha kuisaidia Kenya, though tunawasaidia kwenye uhuru wa njaa (we are fighting this stomach liberation wars thus mental on their table battlefields daily on behalf) hilo lizingatiwe.

Actually we spoke English like shit ndio maana beberu alituelewa and of course by then English was the educational medium for all levels

Let's see

 
Hehehe!! Kenya inawatesa sana nyie, nimekuja nikitazamia kusoma kuhusu hii historia ambayo huwa mnasema mlivyoikomboa Afrika na kuwasababishia umaskini ambao umekidhiri kwenu hadi leo, nimeishia kwenye aya/paragraph ya pili na kushindwa kuendelea maana hamna jipya, ni yale yale ya Kenya hiki Kenya kile, Wakenya hivi Wakenya vile....Hakuna sehemu mnaweza kukamilisha chochote bila kulia lia kuhusu Wakenya.

Bado nawakumbushia, yote haya hayana umuhimu kwa maisha ya leo, vijana wanataka ajira, umaskini umekolea, vyuma vimekaza, msipotumia akili kufanikisha biashara ya maana baina yenu na hao Wasouth, hizi mbwembwe hazitawasaidia vijana wenu ambao hawakumuona huyo Nyerere wala Mandela. Leo hii hampo hata ndani ya kumi na tano bora kati ya mataifa yanayofanya biasahara na Wasouth licha ya kupewa visa bure.
Bado mnatajwa kwenye ndani ya mataifa maskini wa kutupwa dunia hii
Omba omba wenu wanazunguka kwenye nchi za majirani wenu....

focuseconomics_poorest_countries_nov_2018-01.png


 
Hata South Sudan Garang got trained in Tanzania is only later on Kenya got involved after Tanzania n Uganda got involved!
SS got solid enough support from Tanzania, recently they've demanded more support especially in education and poverty reduction programmes from Tanzania, they also requested human resources in tackling red-tape on agriculture and security, Tanzania is their refuge after neglecting and bypassing Kenya, they rather run to Uganda and Tanzania instead of Kenya.
 
Hehehe!! Kenya inawatesa sana nyie, nimekuja nikitazamia kusoma kuhusu hii historia ambayo huwa mnasema mlivyoikomboa Afrika na kuwasababishia umaskini ambao umekidhiri kwenu hadi leo, nimeishia kwenye aya/paragraph ya pili na kushindwa kuendelea maana hamna jipya, ni yale yale ya Kenya hiki Kenya kile, Wakenya hivi Wakenya vile....Hakuna sehemu mnaweza kukamilisha chochote bila kulia lia kuhusu Wakenya.

Bado nawakumbushia, yote haya hayana umuhimu kwa maisha ya leo, vijana wanataka ajira, umaskini umekolea, vyuma vimekaza, msipotumia akili kufanikisha biashara ya maana baina yenu na hao Wasouth, hizi mbwembwe hazitawasaidia vijana wenu ambao hawakumuona huyo Nyerere wala Mandela. Leo hii hampo hata ndani ya kumi na tano bora kati ya mataifa yanayofanya biasahara na Wasouth licha ya kupewa visa bure.
Bado mnatajwa kwenye ndani ya mataifa maskini wa kutupwa dunia hii
Omba omba wenu wanazunguka kwenye nchi za majirani wenu....

focuseconomics_poorest_countries_nov_2018-01.png



Sisi hatuwezi kulalama na ninyi sababu Tanzania haina his yoyote na Kenya, hivi ni eneo lipi ambayo Tanzania ina profoundly lucrative historic relations in between with Kenya? Hakuna kabisa, yaani Tanzania inayo glamorous history na Ghana na Biafra huko good miles away mpaka mitaa na University zinapewa majina ya Nyerere kuliko mchango wowote tulionao Kenya

We are much away from you guys, this is fact.
 
Wakenya ninyi vilaza sana hamfahamu lolote kabisa kuhusu Tanzania yaani ninyi ni myopia linapokuja suala la kujua history ya Tanzania

Na sijui kama wenzangu hili mmeliona, kwa muda niliokaa hapa jf nimeushuhudia ombwe kubwa la ufinyu wa akili wa wakenya linapokuja suala la ufahamu juu ya nchi nyingine, nimeshuhudia kauli kutoka kwao wenyewe kwamba Watanzania tunajua mengi sana kuhusu nchi yao na historia yao yote

Lakini mkenya hajui hata history ya Uganda sijui ni mamburura kwenye kusoma vitabu au kupenda kujua history, by the way nilivyokua nasoma shule, somo ambalo lilikuwa likiongoza kwa ufaulu wa jumla kwa wanafunzi wote ni somo la history na ni somo ambalo katika curriculum ya Tanzania limesheheni haswa, sijui labda kutokana na Tanzania kuwa na history kubwa sana na nchi za Afrika ndio maana somo likawa limeshiba dose kiasi hiki au vipi hilo mtanisaidia

Ipo history kubwa sana nyumbu kutoka Norwich hawana walijualo kabisa kuhusu history ya Tanzania, I wish mngepata access TBC ambayo ndio studio iliyosheheni makala kubwa kuhusu Africa liberation struggles in Africa, yaani ndio inaongoza Africa kwa wingi wa contents zinazohusu history mzima ya Africa kwa njia ya videos na audio and much more still pics.

Haina haja ya kujua history ya Tanzania na SADC ndugu zetu sababu haiwahusu, ninyi mkijua yenu na Somalia na Sudan inatosha, Tanzania ni mtambo mkubwa hamuwezi kuumudu, issue inakuja pamoja na umburura wenu kuhusu Tanzania bado mnajifanya vinara wa kuiongelea Tanzania na ndugu zetu SADC as if mnayo tangible facts za kusimamishia hoja, pathetic

Kuna Wakenya wanaamini eti wameizidi Tanzania kwenye sector ya kilimo (niliwashangaa sana kwenye thread ile kwamba hawajui Tanzania ni permanent top 5 player in general agricultural producer in Africa wakati Kenya ikiwa inakokota mkia) mambo haya na mengine mengi ndio yamenifanya nizidi kuwaona hawa watu ni zero brains kubwa

Sasa em tuone namna Nyerere alivyosimamisha uhusiano na beberu la kibritish on the spot juu la dhulma iliyokua ikitendeka huko Southern Rhodesia (mungiki nendeni Google kutafuta huu msamiati wa Southern Rhodesia sababu hakuna kati yenu hata mmoja anajua ni nini hicho)

Hii video inaonesha namna Tanzania haijawahi kuwa na haya wala uoga kwa mabeberu, we confronted them up and demand what we need and they granted ASAP

Video pia inaonesha misuli ya Tanzania kiuchumi kiasi cha kugharamia kila kitu kwa nchi zote za SADC ziwe huru sababu kuna nyumbu mmoja jana nilimshuhudia akijidanganya kwa ushiriki wa Tanzania kwa liberation struggles ulikuwa tu kutoa refuge kwa exiles (pathetic Bwana254 get this in your tiny thick skull you know nothing) kwa hiyo nikaona kweli hawa mburura ni shida.

Just observe mazingira ya Dar, uelewa mpaka wa Watanzania kuhusu haki ya Waafrika wenzao, ujasiri wa Watanzania kuandamana nchi nzima sababu ya kupigania haki ya Waafrika wenzao (but they never did this to Kenya) na Kenya ilipata uhuru baada ya Tanzania lakini Tanzania haikuwahi hata kujisumbua kuona nini cha kuisaidia Kenya, though tunawasaidia kwenye uhuru wa njaa (we are fighting this stomach liberation wars thus mental on their table battlefields daily on behalf) hilo lizingatiwe.

Actually we spoke English like shit ndio maana beberu alituelewa and of course by then English was the educational medium for all levels

Let's see


They will never understand because they decided to be stupidity.
 
Sisi hatuwezi kulalama na ninyi sababu Tanzania haina his yoyote na Kenya, hivi ni eneo lipi ambayo Tanzania ina profoundly lucrative historic relations in between with Kenya? Hakuna kabisa, yaani Tanzania inayo glamorous history na Ghana na Biafra huko good miles away mpaka mitaa na University zinapewa majina ya Nyerere kuliko mchango wowote tulionao Kenya

We are much away from you guys, this is fact.
Yes. Umenikumbusha kuhusu Biafra.
They will never know the true history of mankind. Africa History where starts
 
Sisi hatuwezi kulalama na ninyi sababu Tanzania haina his yoyote na Kenya, hivi ni eneo lipi ambayo Tanzania ina profoundly lucrative historic relations in between with Kenya? Hakuna kabisa, yaani Tanzania inayo glamorous history na Ghana na Biafra huko good miles away mpaka mitaa na University zinapewa majina ya Nyerere kuliko mchango wowote tulionao Kenya

We are much away from you guys, this is fact.

Hehehe! Halafu MaCCM naona mumekuja kujificha huku jukwaa la Wakenya, hebu jaribu uanzishe huu uharo kwenye majukwaa ya Watanzania uone utakavyokimbizwa kwa vibao, kuna uzi umefunguliwa na Pascal wa kusifia haya ya SADC kule JF jukwaa la siasa za Watanzania, yaani sasa hivi unachezea kurasa kadhaa full mashambulizi na mapigo, watu wamechoka hizi pumba, wanataka suluhisho kwenye matatizo na umaskini wa nchi.
 
So this is how you sound when you are in a defensive mode:)

Kujificha nyuma ya chaka la opposition politics za TZ. Hivi umeshaona wa TZ wakifanya hivyo hapa, No one really talks about KE's opposition politics apart from few inferences based on Aguambo na Prof Ndii.

BTW, I suspect that meaningful opposition politics no longer exist in KE until next GE.

Punguza kujitoa ufahamu, siku hizi unazidi kupoteza ladha, ume-declare vita ya wazi na TZ wakati sisi tumekukaribisha hapa kwenye social platform kwa roho safi...
Hehehe! Halafu MaCCM naona mumekuja kujificha huku jukwaa la Wakenya, hebu jaribu uanzishe huu uharo kwenye majukwaa ya Watanzania uone utakavyokimbizwa kwa vibao, kuna uzi umefunguliwa na Pascal wa kusifia haya ya SADC kule JF jukwaa la siasa za Watanzania, yaani sasa hivi unachezea kurasa kadhaa full mashambulizi na mapigo, watu wamechoka hizi pumba, wanataka suluhisho kwenye matatizo na umaskini wa nchi.
 
Hehehe! Halafu MaCCM naona mumekuja kujificha huku jukwaa la Wakenya, hebu jaribu uanzishe huu uharo kwenye majukwaa ya Watanzania uone utakavyokimbizwa kwa vibao, kuna uzi umefunguliwa na Pascal wa kusifia haya ya SADC kule JF jukwaa la siasa za Watanzania, yaani sasa hivi unachezea kurasa kadhaa full mashambulizi na mapigo, watu wamechoka hizi pumba, wanataka suluhisho kwenye matatizo na umaskini wa nchi.
Hao nyumbu wana rundo la ids wapo kwa ajili ya kupinga kila kitu instead ya constructive debate Ofcourse hawana tofauti na wewe, Tanzania inazidi kuweka records awamu ya 5, kuanzia kwenye ukusanyaji wa mapato mpaka kusambaza huduma za jamii

Uzuri idadi ya wapinzani Tanzania ni less than 14% nchi nzima

CCM ina miaka 1000 zaidi huko mbele ya kudumu madarakani wala hii haihitaji discussions.


20190817_082503png.png


IMG_-ov45hs.jpg
 
So this is how you sound when you are in a defensive mode:)

Kujificha nyuma ya chaka la opposition politics za TZ. Hivi umeshaona wa TZ wakifanya hivyo hapa, No one really talks about KE's opposition politics apart from few inferences based on Aguambo na Prof Ndii.

BTW, I suspect that meaningful opposition politics no longer exist in KE until next GE.

Punguza kujitoa ufahamu, siku hizi unazidi kupoteza ladha, ume-declare vita ya wazi na TZ wakati sisi tumekukaribisha hapa kwenye social platform kwa roho safi...

Hehehe! Mbona imekuuma ila ndio ukweli, nyuzi kama hizi za tambo zozote huwa naangalia kwanza reactions za Watz kule jukwaa la siasa kabla kujua kama mumezileta huku kwa kutoroka moto kule au ndio mtazamo wa Watanzania wote. Kule kwa sasa hivi hizi sounds za SADC zimeshindwa kuwapooza, watu wanataka solutions to daily basic issues, nyie endeleeni kujificha huku.
 
Kinachowatafuna na chanzo cha ukabila,chuki na wivu kwa mataifa mengine kinatokana na usaliti mlioufanya, au unadhani ukijichekesha ndo utaonekana uko na point
Hehehe! Halafu MaCCM naona mumekuja kujificha huku jukwaa la Wakenya, hebu jaribu uanzishe huu uharo kwenye majukwaa ya Watanzania uone utakavyokimbizwa kwa vibao, kuna uzi umefunguliwa na Pascal wa kusifia haya ya SADC kule JF jukwaa la siasa za Watanzania, yaani sasa hivi unachezea kurasa kadhaa full mashambulizi na mapigo, watu wamechoka hizi pumba, wanataka suluhisho kwenye matatizo na umaskini wa nchi.
 
Nliona kuna siku ulichakazwa vibay sana bro kule kwa watanzania wenzako...yani ile si poa hakiafadhali ukatotorokea hku walai
Kinachowatafuna na chanzo cha ukabila,chuki na wivu kwa mataifa mengine kinatokana na usaliti mlioufanya, au unadhani ukijichekesha ndo utaonekana uko na point
 
Thank you for good memory comrade
Wakenya ninyi vilaza sana hamfahamu lolote kabisa kuhusu Tanzania yaani ninyi ni myopia linapokuja suala la kujua history ya Tanzania

Na sijui kama wenzangu hili mmeliona, kwa muda niliokaa hapa jf nimeushuhudia ombwe kubwa la ufinyu wa akili wa wakenya linapokuja suala la ufahamu juu ya nchi nyingine, nimeshuhudia kauli kutoka kwao wenyewe kwamba Watanzania tunajua mengi sana kuhusu nchi yao na historia yao yote

Lakini mkenya hajui hata history ya Uganda sijui ni mamburura kwenye kusoma vitabu au kupenda kujua history, by the way nilivyokua nasoma shule, somo ambalo lilikuwa likiongoza kwa ufaulu wa jumla kwa wanafunzi wote ni somo la history na ni somo ambalo katika curriculum ya Tanzania limesheheni haswa, sijui labda kutokana na Tanzania kuwa na history kubwa sana na nchi za Afrika ndio maana somo likawa limeshiba dose kiasi hiki au vipi hilo mtanisaidia

Ipo history kubwa sana nyumbu kutoka Norwich hawana walijualo kabisa kuhusu history ya Tanzania, I wish mngepata access TBC ambayo ndio studio iliyosheheni makala kubwa kuhusu Africa liberation struggles in Africa, yaani ndio inaongoza Africa kwa wingi wa contents zinazohusu history mzima ya Africa kwa njia ya videos na audio and much more still pics.

Haina haja ya kujua history ya Tanzania na SADC ndugu zetu sababu haiwahusu, ninyi mkijua yenu na Somalia na Sudan inatosha, Tanzania ni mtambo mkubwa hamuwezi kuumudu, issue inakuja pamoja na umburura wenu kuhusu Tanzania bado mnajifanya vinara wa kuiongelea Tanzania na ndugu zetu SADC as if mnayo tangible facts za kusimamishia hoja, pathetic

Kuna Wakenya wanaamini eti wameizidi Tanzania kwenye sector ya kilimo (niliwashangaa sana kwenye thread ile kwamba hawajui Tanzania ni permanent top 5 player in general agricultural producer in Africa wakati Kenya ikiwa inakokota mkia) mambo haya na mengine mengi ndio yamenifanya nizidi kuwaona hawa watu ni zero brains kubwa

Sasa em tuone namna Nyerere alivyosimamisha uhusiano na beberu la kibritish on the spot juu la dhulma iliyokua ikitendeka huko Southern Rhodesia (mungiki nendeni Google kutafuta huu msamiati wa Southern Rhodesia sababu hakuna kati yenu hata mmoja anajua ni nini hicho)

Hii video inaonesha namna Tanzania haijawahi kuwa na haya wala uoga kwa mabeberu, we confronted them up and demand what we need and they granted ASAP

Video pia inaonesha misuli ya Tanzania kiuchumi kiasi cha kugharamia kila kitu kwa nchi zote za SADC ziwe huru sababu kuna nyumbu mmoja jana nilimshuhudia akijidanganya kwa ushiriki wa Tanzania kwa liberation struggles ulikuwa tu kutoa refuge kwa exiles (pathetic Bwana254 get this in your tiny thick skull you know nothing) kwa hiyo nikaona kweli hawa mburura ni shida.

Just observe mazingira ya Dar, uelewa mpaka wa Watanzania kuhusu haki ya Waafrika wenzao, ujasiri wa Watanzania kuandamana nchi nzima sababu ya kupigania haki ya Waafrika wenzao (but they never did this to Kenya) na Kenya ilipata uhuru baada ya Tanzania lakini Tanzania haikuwahi hata kujisumbua kuona nini cha kuisaidia Kenya, though tunawasaidia kwenye uhuru wa njaa (we are fighting this stomach liberation wars thus mental on their table battlefields daily on behalf) hilo lizingatiwe.

Actually we spoke English like shit ndio maana beberu alituelewa and of course by then English was the educational medium for all levels

Let's see

 
Masifa zenye hazisaidi uchumi wa nchi,,,,Africa tuko na shida ya akili sana
Wananchiii hawali sifa,,,
Sifa za ujinga achia wazeee wa 1970s
 
Back
Top Bottom