Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hili ni tatizo? jamani kila nikipata nafasi nakuwa na mwanamke na wala sitosheki.....! kwa siku nakuwa na wanawake wawili au watatu. hili ni tatizo gani?
mademu wawili mpaka watatu kwa siku mbona ni wachache sana? Ongeza idadi wafikie 8
Subiri siku ukiwa na madeni na benki itangaze mnada wa mali zako, hapo ndin utafahamu huo urijali wako!
hili ni tatizo? jamani kila nikipata nafasi nakuwa na mwanamke na wala sitosheki.....! kwa siku nakuwa na wanawake wawili au watatu. hili ni tatizo gani?
najaribu lkn nashindwaPole. itakuwa ni spiritual husband/ wife. nenda kwenye deliverance fasta au anza kufunga na kujiombea mwenyewe. ukiwa na ndoa au mahusiano hutakuwa na furaha kamwe katika hali hiyo
nishajaribu njia zote lkn inashindikanaHuko ni kujiendekeza tuu bana.
badili mind yako, finaly 'tatizo' litakwisaha.
Na UKIMWI je?
Unautumiaje muda wako,una majukumu gani yanayoku keep busy!?
nimejitaidi sana lkn hamu hainiishiDah! Jitaidi kuwa na mwanamke mmoja tu,ambaye umempenda na anayekupenda siku hizi kuna magonjwa mengi especially HIV acha kurukaruka kijana utaingia vumbini mapema.