Hili ndio neno linalotajwa na vyombo vya habari vya kada zote na mitaani katika awamu hii kuliko neno lolote.

Na iki kineno kiko sana kwenye midomo ya wenye vijisenti,yaani ukienda kumlilia shida tu utamsikia anakwambia yaani ndigu yangu ujui kuwa fursa zimekuzunguka,ukiskia hili neno basi ujue ataki kukupa msaada.
hahaha
neno jema ila linataka kuwa diluted na kutumika kisiasa.
 
Na iki kineno kiko sana kwenye midomo ya wenye vijisenti,yaani ukienda kumlilia shida tu utamsikia anakwambia yaani ndigu yangu ujui kuwa fursa zimekuzunguka,ukiskia hili neno basi ujue ataki kukupa msaada.
Hahahahaha kama Bwana Yule anavyotumia fursa kujenga miundombinu na mabombadia kutupiga Watizedi.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom