Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 3,884
- 3,805
Hangaya
Hangaya
Kwa mikoa ya pwani na jirani ni sawa ila kwa mikoa ya bara majina kama Neema,Pendo ni wengi kuzidi wakina Fatuma.Mwaka 2005 nilishiriki katika kuandika daftari la kudumu la wapiga Kura. Katika wanawake Zaidi ya elfu nane nilio waandikisha Zaidi ya elfu tano Na Mia tano walikuwa wanaitwa Fatuma... Ilikuwa mjini Daslamu.
🤣🤣🤣 Au unamuita Fatuma halafu unazuga kama ulikosea then unasema da sory Fatma.Mimi wawili nimesoma nao primary na mmoja o'level .. aisee sasa wanasema hawaitwi FATUMA. eti ni fatma mara fetty! Sasa mimi kuwakera nawaita fatuma tena ile ya slow motion minuno k a au ma yote
Lazma atakuwa alikuwa demu wako tu huyo naaLabda majina kama Jackline, Neema, Irene.
Kuna Nasra na Nasma pia sasa hivi yanapendwa sana ukanda wa Pwani, utasikia wao wanafupisha Naa.
🤣🤣🤣, kweli JF kuna kila kichwa..Usalama upo mkuu??Lazma atakuwa alikuwa demu wako tu huyo naa
Katoliki hatuna sala ya Fatuma! Isipokua tuna watoto wa Fatima (hili ni eneo) Lucia, Yasinta na Fransiska! Ambao walitokewa na Mama Bikira Maria.Ndio kuna sala inaitwa sala ya fatuma, wakatoliki wanajua, maana yake