ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Na hapa napo tabu kweli sisi ambao tulizaliwa katika nyumba za udongo, tukaishi kwenye nyumba za udongo..na hata mababuri yetu si shaka ni mwendo huo huo wa udongo,.... hukumu sijui ipoje bana kama marehemu anaruhusiwa kutembelewa na kupiga na "brin' brin" kaburini kama hivi...
E Bwana kama wewe ungehesabu maovu......
E Bwana kama wewe ungehesabu maovu......