CHAMVIGA
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 7,687
- 2,238
Ukiachilia mbali mlima kilimanjaro ambao umeingizwa ktk maajabu yanayopatikana Tanzania, serikali ingeingiza na hili la wanafunzi zaidi ya 5000 waliomaliza std 7 na wamechaguliwa kujiunga na secondary na hawajui kusoma na kuandika bila shaka tungeshinda.