Hili litawashangaza wanawake………!

Mtambuzi

Platinum Member
Oct 29, 2008
8,810
15,393
Ni jambo ambalo litawashtua wanawake, hasa walioolewa au ambao wana wapenzi wanaoaminika, kwamba, kila wanaume kumi ambao unakutana nao kila siku, watano kati yao ni lazima wameshakutana na kufanya mapenzi na wanaoitwa makahaba. Ni wepi watano kati ya hao kumi, ni jambo lenye kushangaza zaidi. Unaweza kuhisi kwamba, kati ya hao kumi, ni wale wanaume wahuni na chakaramu, ndio watakaokuwa wamekutana kimwili na makahaba……… Umekosea!

Kwa kawaida kati ya hao kumi, watano ambao watakuwa wameshatembea na makahaba watakuwa ni wale ambao huwezi kuwategemea. Kwa nini? Kwa sababu ni wale wenye kujiheshimu kwa nje, wenye uwezo na pengine waliosoma vizuri. Hapa hata hivyo tunazungumzia makahaba ambao wanajiuza kwa kiwango kinachoweza kukubalika kwa watu wengi wakiwemo wageni kutoka nje. Wale makahaba kama wa Uwanja wa Fisi au Kimboka pale Buguruni hawahesabiwi kama makahaba katika viwango vya kiutafiti kama huu uliofanywa duniani kote.

Kahaba kwa kawaida huhitaji fedha na pengine mahali pa kwenda kufanyia mapenzi na hili linawezekana kwa mwanaume mwenye uwezo kifedha. Kwa hali hiyo, watano kati ya hao wanaume kumi ni lazima wawe ni wale wenye uwezo mzuri kifedha. Kuna tafiti zinazoonesha kwamba, wanaume wanaochukua makahaba angalau mara moja kwenye maisha yao, ni zaidi ya watano kati ya kila kumi. Baadhi ya tafiti zinaonesha kwamba, wanaume sita hadi saba, huchukua makahaba katika maisha yao, hata kama ni mara moja tu.

Lakini jambo la kushangaza na kusikitisha ni kwamba, imebainika sasa kuwa, wanaume wanaochukua makahaba, nusu yake ni wanaume ambao wameoa au wana wapenzi wanaowaamini sana. Kwa haraka mtu anaweza kuichukulia taarifa hii kama jambo lisilo na maana sana au lisilo jipya, lakini ni taarifa isiyopendeza kwa wanandoa au wapenzi.

Tofauti na nyumba ndogo, kuchukua kahaba kunaweza kumfanya mwanaume asikamatwe kwa maisha yake yote, kwani kahaba na mnunuzi wake humaliza biashara huko huko. Kwa wale wakazi wa jijini Dar wanajua vizuri kwamba, makahaba wengi hufanyia mapenzi kwenye magari na hata makaburini na wanaofanya nao kuna miongoni mwao wanaoheshimika katika jamii. Ndio maana wanawake ambao wana waume wenye uwezo kifedha hawapaswi kujidanganya kwamba, waume zao hawawezi kutembea na makahaba. Kwa sehemu kubwa tafiti zinaonesha kwamba, uwezekano huo ni mkubwa sana. Kama watano kati ya kila kumi wanaweza kufanya hivyo, basi idadi ni kubwa
 
kutembea na kahaba kwa kijana mdogo lina uwezekano mkubwa............kwani kiu yake yawezekana ni kukutana kimwili na mwanamke yeyote atakayembahatisha......lakini baada ya kuoa hapo ni pasua kichwa.........inamaanisha sasa njemba hiyo ana matatizo makubwa.........................kwa sababu anachofuata huko siyo kujaamiana kwa sababu hana kiu...........................kama ana kiu basi hatosheki au hatoshelezwi..............................na huyo kahaba hawezi kumtosheleza kwa sababu kujaamiana is more than the physical contact..................it has to be the fulfilling emotional contact..............with the rapturous sex just a physical conduit to get the couple there..............and that is always gone lacuna when sex is bartered for cash......................
 
kutembea na kahaba kwa kijana mdogo lina uwezekano mkubwa............kwai kiu yake yawezekana ni kukutana kimwili na mwanamke yeyote atakayembahatisha......lakini baada ya kuoa hapo ni pasua kichwa.........inamaanisha sasa njemba hiyo ana matatizo makubwa.........................kwa sababu anachofuata huko siyo kujaamiana kwa sababu hana kiu...........................kama ana kiu basi hatosheki au hatoshelezwi..............................na huyo kahaba hawezi kumtosheleza kwa sababu kujaamiana is more than the physical contact..................it has to be the fulfilling emotional contact..............with the rapturous sex just a physical conduit to get the couple there..............and that is always gone lacuna when sex is bartered for cash......................

Hapo kwenye Red.....hujanishawishi, kujaamiana kwa wanaume wakati mwingine ni kwa ajabu sana, wakati wewe unasema kahaba hawezi kumtosheleza, lakini jambo ambalo wewe hulijui ni kwamba, katika swala zima la kujamiaana wanaume wengi huvutwa na udadisi wa sifa za nje za wanawake fulani.......... haiyumkini, mwanaume mwenye akili zake timamu anaweza hata kujamiaana na mwendawazimu ili kujua ana ladha gani. usifikiri wale omba omba pale mjini wenye watoto na wengine wana ujauzito wamepata wapi, ni kwa hao hao wanaume tena wengine ni watu wa heshima na wana familia zao.
Sifa za nje za wanawake kama weupe tena wa kujichubua kwa mikorogo, Makalio makubwa, mahipsi, matiti makubwa nk....... huwashawishi wanaume kuwa na udadisi wa kutaka kuonja................
Si hivyo tu wanaume pia hudanganyana wanapokuwa kwenye vijiwe vyao, humo huwajadili na kuwanyambua wanawake vya kutosha na ndio maana kuna wengine hujaribu hata kuwaruka ukuta wake zao kwa kutaka kuwaonja kama upande wa pili ukoje.........
 
hivi wewe vukani ni mwanamke kabisaaa?

mbona nnatia shaka?????/
 
Ni jambo ambalo litawashtua wanawake, hasa walioolewa au ambao wana wapenzi wanaoaminika, kwamba, kila wanaume kumi ambao unakutana nao kila siku, watano kati yao ni lazima wameshakutana na kufanya mapenzi na wanaoitwa makahaba. Ni wepi watano kati ya hao kumi, ni jambo lenye kushangaza zaidi. Unaweza kuhisi kwamba, kati ya hao kumi, ni wale wanaume wahuni na chakaramu, ndio watakaokuwa wamekutana kimwili na makahaba……… Umekosea!

Kwa kawaida kati ya hao kumi, watano ambao watakuwa wameshatembea na makahaba watakuwa ni wale ambao huwezi kuwategemea. Kwa nini? Kwa sababu ni wale wenye kujiheshimu kwa nje, wenye uwezo na pengine waliosoma vizuri. Hapa hata hivyo tunazungumzia makahaba ambao wanajiuza kwa kiwango kinachoweza kukubalika kwa watu wengi wakiwemo wageni kutoka nje. Wale makahaba kama wa Uwanja wa Fisi au Kimboka pale Buguruni hawahesabiwi kama makahaba katika viwango vya kiutafiti kama huu uliofanywa duniani kote.

Kahaba kwa kawaida huhitaji fedha na pengine mahali pa kwenda kufanyia mapenzi na hili linawezekana kwa mwanaume mwenye uwezo kifedha. Kwa hali hiyo, watano kati ya hao wanaume kumi ni lazima wawe ni wale wenye uwezo mzuri kifedha. Kuna tafiti zinazoonesha kwamba, wanaume wanaochukua makahaba angalau mara moja kwenye maisha yao, ni zaidi ya watano kati ya kila kumi. Baadhi ya tafiti zinaonesha kwamba, wanaume sita hadi saba, huchukua makahaba katika maisha yao, hata kama ni mara moja tu.

Lakini jambo la kushangaza na kusikitisha ni kwamba, imebainika sasa kuwa, wanaume wanaochukua makahaba, nusu yake ni wanaume ambao wameoa au wana wapenzi wanaowaamini sana. Kwa haraka mtu anaweza kuichukulia taarifa hii kama jambo lisilo na maana sana au lisilo jipya, lakini ni taarifa isiyopendeza kwa wanandoa au wapenzi.

Tofauti na nyumba ndogo, kuchukua kahaba kunaweza kumfanya mwanaume asikamatwe kwa maisha yake yote, kwani kahaba na mnunuzi wake humaliza biashara huko huko. Kwa wale wakazi wa jijini Dar wanajua vizuri kwamba, makahaba wengi hufanyia mapenzi kwenye magari na hata makaburini na wanaofanya nao kuna miongoni mwao wanaoheshimika katika jamii. Ndio maana wanawake ambao wana waume wenye uwezo kifedha hawapaswi kujidanganya kwamba, waume zao hawawezi kutembea na makahaba. Kwa sehemu kubwa tafiti zinaonesha kwamba, uwezekano huo ni mkubwa sana. Kama watano kati ya kila kumi wanaweza kufanya hivyo, basi idadi ni kubwa


Afadhali yangu ninayetembea na ma house girl! chungeni wafanyakazi wenu wa ndani!
 
Suala la ukahaba huwa linajitokeza na kujadiliwa sana humu mmu. Kuna kipindi tulilijadili ikaonekana ukahabu ni wa aina nyingi.Sex for cash hiyo ndiyo straightforward ukahaba,lakini swali lilikuja je na anayetoa maksi za chu...i darasani,anayepandishwa cheo kwa kutoa nonino? anayepewa tenda kwa kumalizana biashara chumbani sea cliff? anayepunguziwa bei na mpemba dukani? je huu nao sio umalaya? Kama jibu ni ndiyo hapo kuna tena mambo ya 5/10 au ni 10/10?
 
sijashtuka
I guess siangukii kwenye moja ya kundi...lol!
 
nadhani mtambuzi usiwaambie ya wanawake maana wanaume watazimia .... kwana hao makahaba si wanawake na wengine ni wake za watu so ..
maisha is blah blah aaaa daima mpaka kifo
 
Back
Top Bottom