Abraham Lincon
Member
- Oct 22, 2010
- 78
- 0
Suala la uchakachuaji wa matokeo ambalo limeanza kujitokeza shinyanga lisifumbiwe macho hata kidogo. Siamini kama huyo mmoja aliyekamatwa ndiye mchakachuaji pekee katika Tanzania nzima yenye majimbo ya uchaguzi zaidi ya 200. Iwapo CCM itashinda kwa njia hii, ushindi huo utakuwa batili na hatua za kisheria yapasa zichukuliwe dhidi yao! Tumechoka kuburuzwa na sasa umefika wakati yatubidi tuchukue hatua. Mungu ibariki Tanzania, Mungu bariki uchaguzi mkuu Tanzania.