Azipa
JF-Expert Member
- Mar 19, 2012
- 1,069
- 322
Polisi kahukumiwa kifungo cha miaka 17. Ni baada ya kumuua kijana mmoja huko Soweto Afrika Kusini.
Polisi huyo ambaye bado ni mchanga kazini alimmiminia risasi kijana huyo ambaye inasemekana ni mwanachama wa kikundi cha wahalifu katika eneo hilo. Wakati anapigwa risasi huyo kijana alikuwa amelala akitazama chini
MY TAKE: Tanzania polisi wetu wanaua raia wasio na makosa. Huyu polisi kaua mhalifu na bado kashtakiwa. Imekaaje hiyo?
http://www.timeslive.co.za/local/2012/12/04/mbatha-sentenced-to-17-years-for-soweto-teen-s-murder
Polisi huyo ambaye bado ni mchanga kazini alimmiminia risasi kijana huyo ambaye inasemekana ni mwanachama wa kikundi cha wahalifu katika eneo hilo. Wakati anapigwa risasi huyo kijana alikuwa amelala akitazama chini
MY TAKE: Tanzania polisi wetu wanaua raia wasio na makosa. Huyu polisi kaua mhalifu na bado kashtakiwa. Imekaaje hiyo?
http://www.timeslive.co.za/local/2012/12/04/mbatha-sentenced-to-17-years-for-soweto-teen-s-murder