Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
QUOTE=Lukolo;I completely agree with you Zipuwawa, kwamba kuogopa mabomu na kukatana mapanga ndiyo chanzo cha matatizo tuliyonayo. But haya matatizo ni nafuu zaidi ya matatizo ya kukimbia nchi! Umeshasikia mtu anahama Tanzania kwa kuwa maisha yamemshinda? Kwa taarifa yako watanzania ndiyo wanaoongoza kwa kurudi nyumbani mara wapatapo wasaa wa kwenda nje ya nchi ama kimasomo au kwa shughuli mbalimbali. Bila hiyana wakimaliza shughuli iliyowapeleka huko, hurejea nyumbani. Hii ni mojawapo ya indicator ya amani.
Amani bila maendeleo haina maana kwa binadamu. Mwalimu pia alisema. Kuna faida gani kua na iyo amani TZ? Eti kisiwa cha amani! Na Botswana utakiita kisiwa cha nini? Maana kule amani yao imeendana na kusukuma gurudumu la maendeleo mbele.
Amani bila maendeleo haina maana kwa binadamu. Mwalimu pia alisema. Kuna faida gani kua na iyo amani TZ? Eti kisiwa cha amani! Na Botswana utakiita kisiwa cha nini? Maana kule amani yao imeendana na kusukuma gurudumu la maendeleo mbele.