unacheka unamana gani
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 483
- 470
Mmeamkaje wakuu? Yaani mafunzo ya vitendo(field) yanaanza tarehe 11 mwezi huu wa saba, ila mpaka muda huu wanafunzi hawajapata/hawasa-sign fedha/malipo yao ya 'field'.
Huu tuuite ni uzembe au? Kuna vijana wamenipa habari hizi, na ninawafahamu. Wahusika(najua baadhi wanaweza kusoma makala haya), lishughulikieni hili.
Yaani chuo kimefungwa ila vijana hawajapata malipo yao ya field bado, badala yake mnawaambia wawe karibu na maeneo ya chuo wakisubiri jumbe za uthibitisho?
Rekebisheni hili, tena kwa uwazi tafadhali!
Huu tuuite ni uzembe au? Kuna vijana wamenipa habari hizi, na ninawafahamu. Wahusika(najua baadhi wanaweza kusoma makala haya), lishughulikieni hili.
Yaani chuo kimefungwa ila vijana hawajapata malipo yao ya field bado, badala yake mnawaambia wawe karibu na maeneo ya chuo wakisubiri jumbe za uthibitisho?
Rekebisheni hili, tena kwa uwazi tafadhali!