Hizb Tahrir Tanzania
JF-Expert Member
- Feb 18, 2020
- 258
- 235
umetoa taarifa isiyo kamili kwa makusudi ili kupotosha umma. Kwanini hukusema Hizb ipo Marekani, Uingereza, Canada, Uturuki, Falme za Kiarabu, na ulimwengu mzima. Kama ni hatari hizo nchi zilizoendelea ktk intelijensia zingekuwa zimeshaifungiaIt's very unfortunate umetafsiri hivyo. Nilidhani nikiweka taarifa zao kamili, pengine hoja yangu ingekuwa kamili zaidi.