king suleman
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 1,749
- 1,148
Hajakurupuka , tulia hivo hvo kijana, apa ni Tanzania sio ISMtoa post unadhihirisha ulivyo si mweledi na huna Nia nzuri kama mpaka website yao unayo kwanini usiwasiliane nao au kuwauliza unachotaka badala yake umekurupuka na kuanza kutoa tuhuma zisizo na kichwa wala miguu