Liverpool_Jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,220
- 1,411
- Thread starter
- #141
Ila mna akili za ajabu maana ""alinitafuta anajutia na anataka tupashe kiporo""Hapo ndio utajua waliosema simba akizidiwa hula hata nyasi walimaanisha nini. Kifupi ni kwamba hakukupenda sema alikuwa anashida na akaona wewe uko tayar kumsaidia bila kujali dini wala kabila lako akaomba msaada. So next time be careful
Ila mi moja ya slogan zangu MKE WA MTU SUMU.
Maana wanawake wa siku hizi akikupenda wengi ni kwamba wanashida aidha ya hela au .......
Hapa ndio maana Zero IQ anakula sanaa papuchi..
Ngoja mabaharia waendelee kuvua hizo chupi..
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!