malisoka
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 1,860
- 2,638
Kama waziri wa ngazi za juu wa nchi waziri wa mambo ya ndani Mzee Lugola anatamka kwamba wakati Tundu Lissu anashambuliwa katika nyumba za viongozi wa juu wa seriakli akiwemo Naibu speaker kulikuwa hakuna kabisa ulinzi wa CCTV camera. Hii ina maana gani?
Alipotekwa MO juhudi mkubwa lilifanywa kwa kupitia CCTV camera kuwajua waliomteka.
Na Ikiwa serikali imetoa tamko kupitia mkuu wa Mkoa wa DSM na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kwamba bar , Geust house na Ofisi zote zifungwa CCTV Camera,
Na Ikiwa Hata kwenye maduka ya lejaleja yanayouza mafuta ya kula na taa kwa chupa ya soda yamefungwa CCTV Camera kwa ulinzi.
Je Waziri LUgola anataka kutuaminisha kwamba wamewapuuza wabunge na viongozi wa serikali wanaokaa Katika majengo ya Area D dodoma?
Jengo alilopigwa lisasi Lissu linaweza kwa usembe kutokuwa na CCTV Camera.
Lakini Majengo hayo hayo wanapokaa wabunge na viongozi wa serikali yanajulikana kama Sengia hapo hapo mkabala na lilipotokea shambulizi kuna CCTV Camera za kutosha wabunge au hao viongozi wa serikali wamejiwekea wenyewe.
Je ni Muhimu au si Muhimu Kuwa na CCTV Camera kwa viongozi wetu wa juu kama Naibu Speaker na Makatibu wakuu?
Na kama kweli hakukuwa na CCTV Camera nani wa kulaumiwa na nani anatakiwa kuwajibishwa kwa tukio la Lissu kwamba walifanya makusudi kutokuweka CCTV Camera.
Nawashauri serikali wasicheze na maisha ya viongozi wetu tunawahitaji sana, wao na mali zao.
Mh Lugola kwa kauli yako ni sawa na kusema kwamba wakati wa shambulio la Lissu HAKUKUWA NA ULINZI WA KUTOSHA!
Alipotekwa MO juhudi mkubwa lilifanywa kwa kupitia CCTV camera kuwajua waliomteka.
Na Ikiwa serikali imetoa tamko kupitia mkuu wa Mkoa wa DSM na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kwamba bar , Geust house na Ofisi zote zifungwa CCTV Camera,
Na Ikiwa Hata kwenye maduka ya lejaleja yanayouza mafuta ya kula na taa kwa chupa ya soda yamefungwa CCTV Camera kwa ulinzi.
Je Waziri LUgola anataka kutuaminisha kwamba wamewapuuza wabunge na viongozi wa serikali wanaokaa Katika majengo ya Area D dodoma?
Jengo alilopigwa lisasi Lissu linaweza kwa usembe kutokuwa na CCTV Camera.
Lakini Majengo hayo hayo wanapokaa wabunge na viongozi wa serikali yanajulikana kama Sengia hapo hapo mkabala na lilipotokea shambulizi kuna CCTV Camera za kutosha wabunge au hao viongozi wa serikali wamejiwekea wenyewe.
Je ni Muhimu au si Muhimu Kuwa na CCTV Camera kwa viongozi wetu wa juu kama Naibu Speaker na Makatibu wakuu?
Na kama kweli hakukuwa na CCTV Camera nani wa kulaumiwa na nani anatakiwa kuwajibishwa kwa tukio la Lissu kwamba walifanya makusudi kutokuweka CCTV Camera.
Nawashauri serikali wasicheze na maisha ya viongozi wetu tunawahitaji sana, wao na mali zao.
Mh Lugola kwa kauli yako ni sawa na kusema kwamba wakati wa shambulio la Lissu HAKUKUWA NA ULINZI WA KUTOSHA!