Kiresua
JF-Expert Member
- May 13, 2009
- 1,184
- 259
Ndugu wanaJF,
Nawasalimu wote,
Ingawa mm sio mtumishi wa serikali nimeona nilisemee hili kwani sijaona mwanasiasa, TUCTA walkiliongelea hili (labda walisema lakini mimi sikusikia) natimiza wajibu wangu kama raia wa Jamhuri kupata maelezo. Ni kwa kipindi sasa michango ya mbio za mwenge ilisimama kichangishwa kwa wananchi kupitia kwa mabalozi, waalimu -mashuleni nk. lakini ninacho shangaa ni kwa Serikali bila ridhaa ya watumishi kuamua kukata garama hizo kutoka kwenye ujira wao. hii inaudhi sana na kushangaza (labda TUCTA waliitwa wakakubaliana na hili). lakini jee ni halali???
Nchi hii imekuwa ikiendeshwa hovyo hovyo tu bila kujali utawala wa sheria, haiwezekanai kuamua -maamuzi ya watu wachache yafanyike kujustify kukubaliana kwa majority (ninacho jua inapofikia wakati wa kuwa na nia ya kutempa na ujira ya watu) nilitegemea kuwe na circular resolutions -watumishi wote waridhie kwa hiyari yao na sio utaratibu huu ni utawala wa kidicteta na HII HAIKUBALIKI.
after all Koroboi hii inaumuhimu gani (jamani CCM) tusiwe tunaenzi mambo yasiokuwa na tija kwa taifa hili (eti inazindua miradi) eee kwani mkimpa RC na MaDC wake kazi hii wakazindua miradi hii haitazinduka????. Mwenge ulikuwa unamulika ndani na nje ya mipaka yetu hahahahah LOL wakati huo watu wakiwa hana uelewa wa kutosha sasa tunelewa Mwenge unaacha mafisadi ndani, unapishana na Majambazi barabarani unamulikia watu wazini Huuuuuuuwi Yewooomii!!! washindwe kabisa. Yaani watumishi wa Uma mnakubaliana na hili... haiwezekani lazima tuliseme hili.
Natamani Wanaharakati kana Tamwa NGO kam Synovet, REDET au NGO nyingine wafanye utafiti kufuatilia manufaa ya Mwenge (aka koroboi) tupate scientific justification ya hili jambo kuwa halina manufaa kwa taifa. LAKINI WATUMISHI KUBEAR COSTS ZA HII KITU over and above your strugling shoulders sikubali.
naomba kuwasilisha
xp
Nawasalimu wote,
Ingawa mm sio mtumishi wa serikali nimeona nilisemee hili kwani sijaona mwanasiasa, TUCTA walkiliongelea hili (labda walisema lakini mimi sikusikia) natimiza wajibu wangu kama raia wa Jamhuri kupata maelezo. Ni kwa kipindi sasa michango ya mbio za mwenge ilisimama kichangishwa kwa wananchi kupitia kwa mabalozi, waalimu -mashuleni nk. lakini ninacho shangaa ni kwa Serikali bila ridhaa ya watumishi kuamua kukata garama hizo kutoka kwenye ujira wao. hii inaudhi sana na kushangaza (labda TUCTA waliitwa wakakubaliana na hili). lakini jee ni halali???
Nchi hii imekuwa ikiendeshwa hovyo hovyo tu bila kujali utawala wa sheria, haiwezekanai kuamua -maamuzi ya watu wachache yafanyike kujustify kukubaliana kwa majority (ninacho jua inapofikia wakati wa kuwa na nia ya kutempa na ujira ya watu) nilitegemea kuwe na circular resolutions -watumishi wote waridhie kwa hiyari yao na sio utaratibu huu ni utawala wa kidicteta na HII HAIKUBALIKI.
after all Koroboi hii inaumuhimu gani (jamani CCM) tusiwe tunaenzi mambo yasiokuwa na tija kwa taifa hili (eti inazindua miradi) eee kwani mkimpa RC na MaDC wake kazi hii wakazindua miradi hii haitazinduka????. Mwenge ulikuwa unamulika ndani na nje ya mipaka yetu hahahahah LOL wakati huo watu wakiwa hana uelewa wa kutosha sasa tunelewa Mwenge unaacha mafisadi ndani, unapishana na Majambazi barabarani unamulikia watu wazini Huuuuuuuwi Yewooomii!!! washindwe kabisa. Yaani watumishi wa Uma mnakubaliana na hili... haiwezekani lazima tuliseme hili.
Natamani Wanaharakati kana Tamwa NGO kam Synovet, REDET au NGO nyingine wafanye utafiti kufuatilia manufaa ya Mwenge (aka koroboi) tupate scientific justification ya hili jambo kuwa halina manufaa kwa taifa. LAKINI WATUMISHI KUBEAR COSTS ZA HII KITU over and above your strugling shoulders sikubali.
naomba kuwasilisha
xp