Imeibuka hulka ya wanasiasa kushambulia taasisi na watendaji majukwaani.
Ni dhahiri kwamba mifumo ina mapungufu. Hivi PM anashambulia taasisi au mtendaji ambaye juu yake kuna bodi, katibu mkuu na waziri, hii ni hulka gani? Micromanagement sio ideal.
Yupo mmoja alihangaika na principal officers Tanesco wakati juu yake kuna manager, mkurugenzi na hata CEO.
Hili la MSD ni hivyo hivyo, serikali inapaswa ijue mapungufu na kutengeneza mifumo.
Kuanika mapungufu pengine bila hata kuthibitisha ni udhaifu.
Tungekuwa na siasa imara, wapinzani walipaswa watokee kwenye hizo hoja kwamba serikali imeshindwa kusimamia taasisi na watendaji wake
Ni dhahiri kwamba mifumo ina mapungufu. Hivi PM anashambulia taasisi au mtendaji ambaye juu yake kuna bodi, katibu mkuu na waziri, hii ni hulka gani? Micromanagement sio ideal.
Yupo mmoja alihangaika na principal officers Tanesco wakati juu yake kuna manager, mkurugenzi na hata CEO.
Hili la MSD ni hivyo hivyo, serikali inapaswa ijue mapungufu na kutengeneza mifumo.
Kuanika mapungufu pengine bila hata kuthibitisha ni udhaifu.
Tungekuwa na siasa imara, wapinzani walipaswa watokee kwenye hizo hoja kwamba serikali imeshindwa kusimamia taasisi na watendaji wake